Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Tunaichukia tu marekani aisee lakini ile nchi kijeshii ni habari nyinginee
Kijeshi kivipi toa maelezo yanayoeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaichukia tu marekani aisee lakini ile nchi kijeshii ni habari nyinginee
Hata pale Ukraine nina hakika US tatizo ni Biden muogaMlikuwa mna matarajio makubwa sana kwa Mchina, ni vizuri muelewe kuwa kwa sasa hakuna taifa la kuweza kumtishia US.
China akiacha hili lipite nita wadharau sana
Inaonesha hii ilishapangwa muda, CIA wakutosha walishatia timu Taiwan maana kwa Katiba Pelosi ni 3 kwa Urais, hivyo analindwa kama RaisMama yupo Taiwan,dunia ina wenyewe hii [emoji38][emoji38][emoji38]View attachment 2312164
Yaani makubaliano ya kipumbavu sana waliotiliana mkatabaDoomsday labda yaja.
Hapo ndipo utajua kuwa ilikuwa ni wehu kuwaambia Iran na North Korea wasitengeneze mabomu ya nuclear huku wenye nayo wanatishia wenzao kuyatumia. Kama vipi na wao wayateketeze tu
Hamna,
Alikuepo Taiwan,
Mpk ndege inashuka, mchina Bado Alikua anapiga Doria anga la taiwan.
Nmeshangaa Sana kaiachaje itue ardhini.
Au tuSeme alkua Ni anazurura TU maana alitakiwa apige hata gruneti moja, tumuone Yuko serious na misimamo yake [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuta subira labda kesho watampjgaChina wameniangusha aisee.
Ilifika hadi over 1milHawa jamaa watapiga hela Sana leo hela ambayo hawajawahi kupiga .
Ndege ya kijeshi maana yake huogopi kufaHata ningekuwa mimi 82.
Sema hao ma pilots wakimaliza hiyo your lazima wale mikasi begani
Mchina amekua hana tofauti na NATO,wkt Russia inaivamia Ukraine jamaa wa NATO walikua wanafanya mazoezi,mpk leo Russia anampiga Ukraine bado tu NATO wanafanya mazoezi.
Sawa bibie ..bila shaka wewe ni antie wa pelosMlikuwa mna matarajio makubwa sana kwa Mchina, ni vizuri muelewe kuwa kwa sasa hakuna taifa la kuweza kumtishia US.
Anaondoka kesho, China imesema inaanza mazoezi Kesho kutwa,Ila mkuu una moyo na wachina na bado hutoamini mpaka kukuche uone kaondoka salama huenda ndo utaamini kuwa kweli mchina ni mandonga tu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
aisee mchina katupiga kitu kizito sana
Sent using Jamii Forums mobile app
US mwanzo aliogopa, hatujui nini kilitokea akaamua liwalo na liweZile zilikua propaganda tu,ukiwa muoga kweli huendi ila kwa kua US ni mbabe na hizo anajua propaganda zinavochezwa haogopi
Ukiona unatoa vitisho afu mtu hajali, anakuja tu, ogopa sana, rudi ujipange upyaNachoamini china kuna hesabu anapiga
Ulitegemea atafanya nn?China kapaisha Penati
Nimemfananisha China na NATO mzee.Usimfananishe Russia na China mzee. China waoga aseee