Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

huyu singa singa akamatwe na mali zake zitaifishwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! utapeli mtupu
 
Uuuuwiiii wameuaaaa.... Yaan walibeba magunia na mifuko ya rambo kwenda kuchukua pesa???
 
Badili heading na umtake radhi huyo baba,alietajwa ni kilaini. Unadanganya as if uko waangalia bunge peke yako.
 
Wanasamehe kodi kubwa halafu wanahangaika kutunyonya walala hoi hadi tone la mwisho, hivi ipo siku yataisha haya kweli!
 
Mbona waliohusika wachache hivyo .. kulingana na pesa zilizotupotea .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…