Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account


Kama ni msafi hakuna shida! Tunashukuru! Tunataka wachafu wajulikane na hatua zichukuliwe!
 
Mhhh moja Singa singa hana uhalali wa kununua hisa za iptl
Lakini upande mwengine Inga singa kanunua kihalali hisa za Rugemalirila !!!!
Ripoti na mapendekezo ya kukomoana tu hayawiani na hali halisi
 
ESCROW NI KOKORO
Mkuu hujaisom report nadhani. Wapo wengi na bado taarifa ya uchunguzi ya TAKUKURU

Hapo kwenye kusubiri Takukuru ndio ninapoona tunapotezwa maboya...

Ripoti inataja wakubwa wachache sana na sasa naona katajwa AG Werema pia...
 
Haya sasa waziri mkuu kitanzini...
 
Piga chini MABOGASI hawa eti Professor
 
Wadau huyu MUHONGO ANA DHARAU SANAAAA. ANACHEKA CHEKA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…