Movie haijaisha mpaka tusikie upande wa pili, hoja za Zitto zimekaa kishabiki shabiki, mapendekezo pia yamekaa kishabiki, mpaka neno dalali alilotumia Mhongo kwa Mengi limerudiwa kuelekezwa kwa Mhongo.
Yote yanajibika tena kiufasaha kabisa.
Mkuu hiyo ni simpo sana. Kama alikuwa anadai ushahidi utaonyeshwa kwamba mtu alikuwa akimdai JR. Ataonyesha alikuwa akidai nini na analipwa nini. Alifanya biashara gani na JR/VIP?na huyo mdai ana biashara hiyo na analipa kodi.Hivi najiuliza kwa mfano mtu alikuwa anamdai fedha Rugemalira na akalipwa kipindi hicho how do you say kuwa ni fedha za ESCRO? Manake naona kama kamati inachukulia kila aliyelipwa na Ruge ilikuwa ni fedha za ESCRO . I think that's wrong assumption. Kwani Rugemalira ni mfanyabiashara analipa watu kila siku na kwa sababu mbalimbali. Sisemi hakuna wizi ila nasema ni wrong assumption kuassume kuwa kila aliyelipwa eti ilikuwa ni mgao wa ESCROW.
Alisema chaguo LA Mungu alikuwa anjua maanayakeYuda wa kalne hii
Huwezi kumpa pongezi zito mwenyewe bila wajumbe wengine pamoja na cag bila kumsahau kafulila
Kama report ya PAC inavyoonyesha kiwa kuna watu wamechukuwa pesa kuyoka hii bank kwa cash na kiwango cha mabilioni, je ni nani had?je ni kati ya hawa?
1. Pinda
2. Maswi
3. Werema
4. Muhongo
Uchunguzi ufanyike ijulikane pesa hizi za malipo ya kihalifu PAP wamepewa akina nani na kwa nini BOT haikuwa na taarifa ya malipo haya
Mkuu hii kitu haijaisha. Wamo wengi. Kuna zile transaction za mamilioni ya dola na mabilioni ya shilingi ambazo hazina majina. Hizo ndizo zinafanyiwa kazi ya kiuchunguzi na PCCB. Report ya PCCB bado, tuendelee kusubiri
JK ni FAILED president..
Hakuna evidence kama hawa waliopewa walijua ni za escrow
Mmh. Sikusikia hilo. Nihabarishe mkuu. Nataka haki tu...Hukusikia Anna Makinda amesemaje kabla hajafunga bunge leo? au hujapenda?
wadau wanaoitakia mema Tanzania,vita bado haijaisha, kinachofuata ni kuisimamia serikali itekeleze mapendekezo ya kamati ya PAC kwa ukamilifu. Nawasilisha wadau
naona mambo si mambo; mihimili ya nchi inatikisika!! jeshi liongoze nchi kwa kipindi kilichobakia :baby::baby: