Kweli mnaroho ngumu kama Paka.
Yaani mishipa ya aibu kwisha.Tatizo lenu Udr na Uprof wakuokoteza umewaharibu vibaya. Mnawaona wengine kama si-binadamu vile.
Hivi unadhani tuko kwenye taarabu ambayo na imani lazima kuna mistari ya kufuatwa na sikujimbia tu.
Dr FaizaFoxy taratibu mtalewa somo!
Naongelea uwasilishaji, si huo uchunguzi. Na pia tumesikia upande mmoja mpaka tungoje upande wa pili wanasemaje.
Mpaka sasa sijaona kilichowasilishwa ambacho hakijibiki.
mimi kama mwana ccm sina jinsi. kilichobaki ni kuhamia timu lowasa tu. kwani timu zingine zote zimepigwa double cross ya nguvu
naona safari ya matumaini ya bw mamvi sasa imenyooka kutoka monduli hadi magogoni. anachekeleaje!
Baba Askofu,rudisha tu hela
ni kweli yametokea,ni ajali tu!!
Rudisha hela uliyopewa na Ruge
Utakua umefanya jambo la maana sana!!
Ngoja tusubiri majibu ya profesa mhongo,hii kamati imekaa kimanjungu majungu sana.
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Prof. Sospeter Muhongo (Mb)
... fedha za ESCROW hizi ni fedha zilizowekwa baada ya hawa wafanyabiashara wawili kutokukubaliana na zingeweza kuwekwa popote ... kwa hiyo hizo pesa ni za IPTL, yaani ni kitu ambacho ni rahisi kabisa, lakini mtu anataka kupotosha hapa anasema fedha za walipa kodi, fedha sijui za wakulima, hakuna kitu kama hicho
Jamani kwani kunanini bungeni leo mbona kila mtu zito..zito kafanyaje huyu jamaaa na scroo ndio nini wakuu/?
Mkuu hii imenithibitishia kabisa malalamiko ya sisi upande wa pili yana ukweli ndani yake ila tunapuuzwa, hii inauma sana mkuu na bado M`mungu ataendelea kuwaumbua, huyu ndie Mungu tunaye muamini sisi ambaye hamfichi mnafiki hata ipite miaka mia na zaidi iko siku ataumbuwa tu.
eti leo wanamuona Zitto shujaa,wanampamba kwa maneno yote mazuri wakati mwanzo walimtundika msalabani,wakamsulubu kwa maneno yote ya kejeli na matusi juu....leo mnauona umuhimu wake? Shame on you all......
Sio kupoteza malengo huu ni mjadala au unataka mjadala ugeuke kuwa circlejerk?.riport haijaficha kitu wewe unahoji kipi kipya au ndio mnataka kupoteza malengo