FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kweli mnaroho ngumu kama Paka.
Yaani mishipa ya aibu kwisha.Tatizo lenu Udr na Uprof wakuokoteza umewaharibu vibaya. Mnawaona wengine kama si-binadamu vile.
Hivi unadhani tuko kwenye taarabu ambayo na imani lazima kuna mistari ya kufuatwa na sikujimbia tu.
Dr FaizaFoxy taratibu mtalewa somo!
Sheria ipi ya Tanzania ambayo haimpi mtuhumiwa haki ya kutoa utetezi wake?