Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Maskin professor wangu mchapakaz! ila mi ningependekeza uendelee kuongoza hiyo wizara maana ulionyesha uhai kuliko wale akina Ngeleja na Karamagi na kutoogopa matajir wanaotaka kijinufaisha kupitia rasilimali za umma! maana kiongoz ambae ni mla rushwa huwa hana msimamo kama uliokuwa nao!ila usife moyo hiyo ni ajali kazin!
 
mimi nasema ivi.hadi sasa wametukatia umeme..natumia laptop yangu iliyo na charge ya kutosha hadi kesho..tangu wiki hii imeanza wanakata umeme mara kwa mara... lakini kwa taarifa yao ndo wanazidi kuongeza hasira za wananchi na hakika fimbo tuliyo nayo wananchi ni kura yetu.
Mungu anaona kwa makusudi yenu ya kutuweka gizani eti kisa mmeumbuka....kura itawaumbua zaidi...amini usiamini hasira hizi hazita isha hadi uchaguzi ukamilike..nasi ndo adhabu yetu tutakayo wapa...tuko na hasira sana juu ya hili suala.
 
Mkuu sikiliza vizuri ITV watarudia muhongo anahusika moja kwa moja

Na ITV watarudia kipande hicho kinachotaja jina la Muhongo kwa sababu maalumu,

Sio kama Muhongo hana mapungufu la hasha, lakini kwenye hili unaposema anahusika moja kwa moja kwa ushahidi gani?
 
Sema wewe ni mwizi !

Lakini usitujumuishe na wakristo wengine (tena wengi tu) ambao hata kama tuna hela ambazo zinaweza kuonekana ni nyingi lakini zimepatikana/zinapatikana kwa njia za halali !

Jisemee wewe mwenyewe, usitusemee sisi wengine !

Hao ni mambwamwitu ndani ya ngozi ya kondoo ndio hao hao wenye kashfa za kula kiboga watoto wa watu
 
Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think tunayo moments bila kufikiri kwa akili.

Inawezekana wamelipwa kwa kuruhusu bank ya mkombozi ambayo ni ya kanisa .kutakatisha pesa chafu .nivema kabla ya kuwatetea subiri habari za uchunguzi utakapo tolewa .
 
Na ITV watarudia kipande hicho kinachotaja jina la Muhongo kwa sababu maalumu,

Sio kama Muhongo hana mapungufu la hasha, lakini kwenye hili unaposema anahusika moja kwa moja kwa ushahidi gani?

Hivi weeeewe nini hujaelewa hapa? Muhongo ndio alikuwa kuwadi
 
CHADEMA kaeni chini na Zitto mzungumze yaishe!!Makosa yake yanazungumzika mbona?

Kuivua nguo serikali kiasi hiki na kulinda ripoti yao isiibiwe usiku kucha sio jambo rahisi!!Zitto ni MWANAMAPINDUZI
 
Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa? Nataka kuelewa tu!!

Bila shaka ulipokuwa shule ulikuwa unapigwa sana kwa uelewa wako mdogo na bado ulimaliza miaka yako ya kuwa shule bado ukiwa na uelewa mdogo. Unastahili uendelee kuchapwa viboko sana ili ubongo wako uamke.
 
Miye nashindwa kuwaelewa mnaohusisha watu kama Lowasa, Mengi n.k juu ya suala hili eti wana malengo yao ya urais na vitalu vya respectively. Hivi ina maana Lowasa na Mengi waliwashauri watu hawa wapige hili deal????Wizi umefanywa na wezi hawa kwa manufaa yao, kamati imefanya uchunguzi na repoti imesomwa bungeni na imedhihirika bila mashaka yoyote kuwa wezi hawa wamehusika katika wizi huu, Je Lowasa na Mengi wanaingiaje hapa???
Achana nao Hawa mkuu wana upeo mdogo WA reason wanataka kutuambia lowassa Na mengi waliagiza waibe fedha wagawane.this is nonsense.
 
Na ITV watarudia kipande hicho kinachotaja jina la Muhongo kwa sababu maalumu,

Sio kama Muhongo hana mapungufu la hasha, lakini kwenye hili unaposema anahusika moja kwa moja kwa ushahidi gani?

Mkuu uesoma ripoti yote au?

Muhongo kinyume na sheria ndani ya siku 4 akaamuru PAP ilipwe wakati kulikuwa na zuio wasilipwe!Huyu ni mla rushwa tu na inabidi afungwe kwa kuipa hasara serikali!!

Au pia hukusikia alipokuwa anasema kuwa ESCROW sio pesa za UMMA?
 
Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa? Nataka kuelewa tu!!

nafikiri haujaisoma vizuri ii ripoti.
 
Nashangaa sana watu wanapenda vya bure pole yao.

We kilaza umeniquote hapo juu nikimcheka bibi mwenzako Faizafoxy alivokuwa anakejeli watu Wanataka Umeme wa bure, huajnielewa kilaza ukadhani nasapoti wizi wenu, Boya ww
 
Viongozi wa dini kama hawa nafikiri hata sadaka zetu haziponi.Ikibidi wajiuzuru.Kazi imewashinda.
 
Ivi huyu FaizaFoxy
ni aina gani ya kiumbe.??

Anadai eti gem haijaisha?? Is she INSIDE.

AU K TU.?
Gemu mbichi sana kesho watoto wa kiume ndiyo wanashuka uwanjani leo walikuwa wanazungumza wavulana kesho ndiyo wanaongea wanaume sasa.
 
Back
Top Bottom