Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Faiza@foxy unaroho ngumu sana umesema yanajibika ni kweli yanajibika tena kwa kutaka kulia wakati wa kujib angalia tv kesho saa tatu utajionea wanavyo jibu na kuaga pale ndio maana umeambiwa kuna majib ya serikal kama unandugu au umetumwa kutetea sahau misaada tena kutoka kwake
 
Kwa hiyo unataka kusema katibu wa wizara ni ofisi tofauti na waziri ni tofauti? What a heck!

Muhongo ametajwa kwa chuki za kisiasa zinazo chochewa na mkono na mengi kwa kukosa kitaru cha gesi.
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka sana!
 

Attachments

  • 1417024355057.jpg
    1417024355057.jpg
    38.7 KB · Views: 245
  • 1417024368628.jpg
    1417024368628.jpg
    64.6 KB · Views: 238
Hana sababu ya Kujiuzuru,

Makosa ya Muhongo kwenye hiyo report ni Udalali tu, sasa yeye anahusika vipi na maamuzi ya Mahakama, BOT, TISS, HAZINA.?

Mkuu sikiliza vizuri ITV watarudia muhongo anahusika moja kwa moja
 
Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think tunayo moments bila kufikiri kwa akili.

Ukitazama orodha ya waliolipwa, wamo watoto wote watatu wa Rugmalira, Evelyn, Jessica na Jerome (Mil 808 each). Sidhani hawa nao alikuwa anawahonga.

Lakini kwa maaskofu inatia mashaka uadilifu wao, unawezaje kupokea pesa nyngi kiasi kwenye account yako binafsi? Tamaa ya pesa imewazidi nguvu, ndo maana namheshimu sana Nyerere
 
Usilipe fedha za kupatiwa umeme wakati makosa umefanya mwenyewe?

Tanesco vipi walipe pesa bila Invoice inayoonesha kodi ni ngapi?

Kuna mengi hayako sawa, hapa kuna fitna za hali ya juu zinatembea.
 
Utakuwa Na malaria kali Sana unamtetea muhongo? Unamuita zitto Na genge lake? Wakuchunguze Kama hujapata hizi fedha zilizoibiwa utakuwa Ni juha namba moja hapa nchini. Kamati ya zitto imefanya kazi iliyokubaliwa Na watanzania zaidi ya asilimia tisini na tisa ukiondoa asilimia moja ya mafisadi Leo unaiita Ni zitto Na genge lake. P.umbavu wewe.

Achana nalo FAMBA HILO.
Hao ndio walewale wanaosema Warioba aliweka mambo yake kwwnye rasim. Wanachoshindwa kuelewa sio mapenzi yote ya mwenyekiti yanatimizwa. Kuna wajumbe karibu robo ya bunge walikuwepo kwenye hiyo kamati na kama ilikua ni maoni ya Zito basi kamati ingekinana na kusambaratika.

Pia tusiwe wajinga kwa kufikiri hiyo repoti imeandaliwa na Zito pamoja na Filikunjombe peke yao. Kuna watu wengi sana kwenye hiyo kamati wameweka uzoefu na mbinu zao kuhakikisha repoti hiyo inakuja na mauvundo yote yaliyojificha.

Na tuendako tutazipa kamati za bunge mamlaka kamili ya kukamata na kutoa hukumu moja kwa moja maana hizo kamati ndio chombo pekee kinachowajibika kwa wananchi kuliko hizo mahaka na polisi wao...wanafanya maamuzi kwa kujipendekeza kwa wakubwa.

Hiyo repoti isingesomwa leo ndio mngeshuhudia spika akitupiwa viatu na kupigwa makofi.

Ningekua bungeni leo ningemlamba kofi yule aliyeanza kutusomea vifungu vya hovyo kabla ya Zito kutiririka.
 
Naam, hakuna umeme wa bure.

Ile ripoti inajibika, wala sina shaka nayo.

Kwaiyo mna cag wenu mwingine analeta report ya pili au mnakujames kupinga maprndekezo ya pac. Maji yashamwagika bibi Yangu. Bado kulifukua jambazi kuu profesa la Beijing
 
Mpaka sasa nasema subiri. Movie haijaisha.

------ wako... subiri movie haijaisha... ! Subiri wewe na wazimu wako! Wametuibia mabilioni ya fedha ... bado tu wewe uko upande wao! ------ yako.. tena huna adabu kabasi....na baradhuli mkubwa!! Watanzania tunalia na hali ngumu ya maisha kwa sababu ya wizi na ufisadi wa viongozi kama hao, wewe unapiga bra bra!! samahni wandugu nina hasira sana na wajinga hawa walioiba pesa zetu!
 
Anna Tibaijuka anasema alipewa in "good faith" eti na yeye ni professor,ptuuuu, hata akili hatumii, yani upewe hela yote usitake kujua imetoka wapi?
 
Back
Top Bottom