Faiza@foxy unaroho ngumu sana umesema yanajibika ni kweli yanajibika tena kwa kutaka kulia wakati wa kujib angalia tv kesho saa tatu utajionea wanavyo jibu na kuaga pale ndio maana umeambiwa kuna majib ya serikal kama unandugu au umetumwa kutetea sahau misaada tena kutoka kwake