Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Hivi ni kweli huoni mantiki ya jina lake kutajwa?? Kweli we ni Kituko

Asingeweza kusimamia yeye Hizo pesa kwani Tayari zilishakuwa chini ya usimamizi wa BOT, kwenye mchakato wa kutoa hizo pesa ulihusika Mwanasheria mkuu, Hazina, TRA, Ikulu, TISS of-course na wizara yake, na kwenye Wizara yake muhongo sio mtendaji, mtendaji ni Katibu na ndiye aliyekuwa kwenye hayo mawasiliano

Kiukweli sijaona Mantiki ya Jina la Muhongo kuwemo kwenye hiyo report,
 
Sema wewe ni mwizi !

Lakini usitujumuishe na wakristo wengine (tena wengi tu) ambao hata kama tuna hela ambazo zinaweza kuonekana ni nyingi lakini zimepatikana/zinapatikana kwa njia za halali !

Jisemee wewe mwenyewe, usitusemee sisi wengine !

Kweli mi huwaga nawashangaa waislam wana maisha duni sana, kumbe sisi ni mijizi ndo mana tuna afford kuishi maisha bora kuliko wenzetu!
Huku Mbezi na Mikocheni wagalatia tumepastawisha kumbe ni hela za wizi! Huu ni uonevu! Na aibu mno!
Ona Tiba ana shule nzuri eti ya Yatima huku anaifund na wizi wa fedha ya umma!
Kwa nini wakristo Rugemalila na cos wasingepeleka fedha hizo shule za Kata za Mbagala na Buguruni?
Ukimkuta na rozari kuubwa utadhani mnyororo wa kufungia Mbwa. Kumbe jizi tu!
 
Hivi ni kweli huoni mantiki ya jina lake kutajwa?? Kweli we ni Kituko
Muhongo ametajwa kwa chuki za kisiasa zinazo chochewa na mkono na mengi kwa kukosa kitaru cha gesi.
 
Ivi huyu FaizaFoxy
ni aina gani ya kiumbe.??

Anadai eti gem haijaisha?? Is she INSIDE.

AU K TU.?
 
Last edited by a moderator:
Report ya PAC inasema wazi kuwa Waziri Mkuu Pinda alikuwa anajulishwa kila kitu kuanzia mwanzo hadi mwisho wa kuhamisha fedha za Escrow. Pia hela zilizohamishwa kutoka mkombozi zingine majina ya waliolipwa yamefichwa

tutazunguka kooote na kuwataja weeengi lakini the buck stops with JK. na hili Filikunjombe amelisema indirectly alipom-quote Mwl Nyerere.

tukumbuke kile kisanga ambacho Pinda alitakiwa kumwajibisha yule David Jairo alisubiri eti hadi JK arudi kutoka safari, seuze huu mzigo wa 320B angetoa baraka bila ya bosi wake?

kumuua nyoka piga kichwa tu!!
 
Na akome kiherehere chake ana dharau sana kwa Watanzania eti tunaweza kutengeneza juice tu alinikera Sana tena ajiuzulu uwaziri

Tukimaliza hili mikataba ya madini na gas tutaiona kilaini na tutaigikunyua.Ole wake labda ahame nchi, the Educated Fool.
 
Katibu anaweza akatoa go ahead bila idhini ya waziri,ukizingatia kwenye issue sensitive kama hiyo?cheo ni dhamana aondoke tu akafundishe,kwanza kwa mujibu wa sheria anatakiwa kustaafu,basi akajiajiri tu

Hana sababu ya Kujiuzuru,

Makosa ya Muhongo kwenye hiyo report ni Udalali tu, sasa yeye anahusika vipi na maamuzi ya Mahakama, BOT, TISS, HAZINA.?
 
Genius yule. Embu ingia Facebook account yake uone aliandika nini tarehe 13 mwezi huu, ndio utajua huu mchongo kachonga nani. Lowassa hawezekaniki!

Miye nashindwa kuwaelewa mnaohusisha watu kama Lowasa, Mengi n.k juu ya suala hili eti wana malengo yao ya urais na vitalu vya respectively. Hivi ina maana Lowasa na Mengi waliwashauri watu hawa wapige hili deal????
Wizi umefanywa na wezi hawa kwa manufaa yao, kamati imefanya uchunguzi na repoti imesomwa bungeni na imedhihirika bila mashaka yoyote kuwa wezi hawa wamehusika katika wizi huu, Je Lowasa na Mengi wanaingiaje hapa???
 
SOMA MAJINA YA WALIOKULA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW KATIKA RIPOTI YA PAC INAYOSOMWA SASA BUNGENI. Zitto: Upande wa viongozi wa kisiasa ambao waliingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni; Mhe. Andrew Chenge (Mb) Zitto: Andrew Chenge aliingiziwa shilingi bilioni 1.6. Zitto: Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) na Waziri wa 62 Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi shilingi bilioni 1.6. Zitto: Mhe.William Ngeleja (Mb) na ambaye alikuwa Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4 Zitto: Ndg. Daniel N. Yona ambaye alikuwa pia Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni 40.4. Zitto: Ndg. Paul Kimiti ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Sumbawanga alipewa shilingi milioni 40.4 Zitto: Dr. Enos S. Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe wa Bodi ya TANESCO aliingiziwa shilingi milioni 161.7. Zitto: Upande wa Majaji Prof. Eudes Ruhangisa, aliingiziwa milioni 404.25 na J.A.K Mujulizi aliingiziwa shilingi milioni 40.4 Zitto: kwa upande wa Watumishi wa umma,Ndg. Philip Saliboko ambaye alikuwa mtumishi wa RITA aliingiziwa shilingi milioni 40.4 Zitto: Ndg. Emmanuel Daniel Ole Naiko ambaye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TIC) aliingiziwa shilingi milioni 40.4 Zitto: Ndg. Lucy L. Appollo ambaye ni Mtumishi wa TRA aliingiziwa shilingi milioni 80.8. Zitto: Viongozi wa Madhehebu ya Dini walioingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu 63 Methodius Kilaini shilingi 80.9 Zitto: Askofu Eusebius Nzigirwa shilingi milioni 40.4 na Mchungaji Alphonce Twimann Ye Simon shilingi milioni 40.4. Zitto: Watu walienda kugawana fedha kwenye Benki tajwa wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi, mabox, magunia na lumbesa TegetaEscrow Zitto: Bilioni 73.5 zilitolewa na kugawanywa kwa watu mbalimbali kinyume cha Sheria ya Benki Kuu na Taasisi za Fedha ya 2006 Zitto: Taarifa ya benki (bank statements) yenye majina na akaunti zote zilizoingiziwa fedha zimeambatishwa. Zitto: Kamati imebaini mawasiliano kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha



Hayo majina naona kama mengi Ni wahaya kunani?
 
Back
Top Bottom