Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna tofauti gani kati ya mwizi,jizi,jambazi na fisadi!msaada tafadhali
Hahahah lakini kina ZZK wametimiza kazi yao kwa weledi na ufasaha mkubwa.bado! kuwafukuza kazi na kurudisha pesa kwa mtazamo wangu bado si suluhisho la ufisadi! nchi imeliwa imekwisha sasa!tunahitaji kifungo ndo wataacha!
Subiri, yote yanajibika na haondoki mtu.
Hata jana ulisema report haisomwi na leo ikasomwa.
Watumwa mnaofanya maamuzi kwa kuongozwa na tumbo huwa hamuamini mpaka muone mmeshikwa mikono kwenye sahani na kuambiwa kuwa leo ndo mwisho wenu wa kula.
Na huku unakujaga!
Jiangalie utapoteza ID huku.
Mi ni Profesa, natumia usafiri Huu kwa muda.
UsAfiri mwingine upo
mtaroni kupitia jukwaa hili hili.
kumbe mama Tibaijuka nae n mwiz??aiseee
Huyu tapeli wa kisingasinga kajua kucheza deal. Wale watetezi wake na lb7 sijui watalalaje leo.
Subiri, yote yanajibika na haondoki mtu.
Asingeweza kusimamia yeye Hizo pesa kwani Tayari zilishakuwa chini ya usimamizi wa BOT, kwenye mchakato wa kutoa hizo pesa ulihusika Mwanasheria mkuu, Hazina, TRA, Ikulu, TISS of-course na wizara yake, na kwenye Wizara yake muhongo sio mtendaji, mtendaji ni Katibu na ndiye aliyekuwa kwenye hayo mawasiliano
Kiukweli sijaona Mantiki ya Jina la Muhongo kuwemo kwenye hiyo report,
kumbe mama Tibaijuka nae n mwiz??aiseee
report umeisoma au umepitisha tu macho?Samahani wadau mimi sijaona Pinda, Muhongo, Maswi, Werema, Ndulu, na Mbowe wanavyhusika. Sijaona hii report ikibainisha hela zinazopaswa kurudi.
na kwanini una lazimisha mbowe atajwe? mna nini nyinyi wachumia tumbo wa CCM?Mheshimiwa Spika, Kamati pia imethibitisha uzembe wa hali ya
juu uliofanywa na Katibu Mkuu huyo, kushindwa kujiridhisha kama
masharti ya Sheria ya kodi ya Mapato Sura ya 333, Kifungu cha
90(2) yalitekelezwa. Kifungu hicho kimsingi kinaitaka mamlaka ya
approval ya uhamishaji wa Makampuni kutotambua Kampuni
mpaka kwanza kodi za uhamishaji ziwe zimelipwa na hati za
malipo ya kodi zimetolewa na mamlaka ya kodi.
Mheshimiwa
Mheshimiwa Spika, Kamati imethibitisha kuwa Waziri wa Nishati
na Madini amekuwa, mara kwa mara, akilipotosha Bunge lako
tukufu na Taifa kwa ujumla kuhusiana na Fedha za Akaunti ya
Tegeta ESCROW kwamba ndani ya fedha hizo hakukuwa na fedha
za umma.
Mheshimiwa Spika, Kamati imethibitisha kuwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali alitoa ushauri ulioipotosha Benki
Kuu ya Tanzania kuhusiana na hukumu ya Jaji Utamwa J. Kwa
kutumia madaraka yake vibaya, Mwanasheria Mkuu wa Serikali
aliagiza kodi ya Serikali yenye thamani ya shilingi 21 bilioni isilipwe
Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa Waziri Mkuu
kuhusiana na suala hili, Kamati iliipitia kwa umakini Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 iliyoainisha
Kazi na Mamlaka ya Waziri Mkuu na kubaini kuwa, kwa mujibu wa
Ibara ya 52 (1)
Mim nalia na viongozi wa dini "toa ndugu toa ndugu ulichonacho mungu anakuona mpaka moyoni mwako" ,sasa kweli amewaona ,vipi mlitoa fungu la kumi? Kwa hizo fedha za madafu mlizogawana kwenye viloba ,nchi hii itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno makubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Hakuna Waziri Mkuu Yeyote Chini Ya Kikwete atabaki salama.
Honestly Pinda Is Inocent.
Mkilazimishia ataondoka .. Huyo ajae .. ATAKUWA SALAMA?
Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa? Nataka kuelewa tu!!
Jamani aibu saaaaana tena dhambi hebu angalieni kwa hao walaji wa fedha za escrow wenzetu waislamu hawapo ila sisi wakristo ndio tumetia aibu jamani
Hahahahahaaaaa upo? Nakukumbuka sana ulivyokua Unakataaa na kuutetea huu wizi. Kazi unayo, maana suala sio kujibika suala ni ukiukwaji wa kanuni na taratibu.