Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Kweli mi huwaga nawashangaa waislam wana maisha duni sana, kumbe sisi ni mijizi ndo mana tuna afford kuishi maisha bora kuliko wenzetu!
Huku Mbezi na Mikocheni wagalatia tumepastawisha kumbe ni hela za wizi! Huu ni uonevu! Na aibu mno!
Ona Tiba ana shule nzuri eti ya Yatima huku anaifund na wizi wa fedha ya umma!
Kwa nini wakristo Rugemalila na cos wasingepeleka fedha hizo shule za Kata za Mbagala na Buguruni?
Ukimkuta na rozari kuubwa utadhani mnyororo wa kufungia Mbwa. Kumbe jizi tu!

Haaaaa eti utadhani mnyororo wa kufungia mbwa... nimejijuta nacheka sana
 
Asingeweza kusimamia yeye Hizo pesa kwani Tayari zilishakuwa chini ya usimamizi wa BOT, kwenye mchakato wa kutoa hizo pesa ulihusika Mwanasheria mkuu, Hazina, TRA, Ikulu, TISS of-course na wizara yake, na kwenye Wizara yake muhongo sio mtendaji, mtendaji ni Katibu na ndiye aliyekuwa kwenye hayo mawasiliano

Kiukweli sijaona Mantiki ya Jina la Muhongo kuwemo kwenye hiyo report,
Katibu anaweza akatoa go ahead bila idhini ya waziri,ukizingatia kwenye issue sensitive kama hiyo?cheo ni dhamana aondoke tu akafundishe,kwanza kwa mujibu wa sheria anatakiwa kustaafu,basi akajiajiri tu
 
Kwa nini report ya PAC haijataja wamiliki wa makampuni mbalimbali yaliyohusika na wizi huu? Mimi nilitaka kusikia wamiliki wa PAP
 
Dah viongozi wa dini hapo inakuaje!!

Hawa viongoz itapendeza wakifikishwa mahakaman ili iwe fundisho kwa viongoz wengine wa din wajanjawajanja ndo maana ikifika wakati wa uchaguz wanakuwa wapiga debe wa baadhi ya wanasiasa badala ya kuimiza wafuasi wao kuchagua viongoz waadilifu na wachapakazi! watz tuwe macho
 
Kama hujaelewa repoti hapa utaelewa nini?

Subirini tu tuwafagie wote ndio utalewa hujui ni kiasi gani mioyo yetu ina huzuni.

oooyoo,,, Matola
Im happy to c u here... Mafisadi yamekabwa pu.mbu.
 
Last edited by a moderator:
kama saerikali inafanya kazi kweli nataka kuona hapo inavyo wawajibisha FISIDI hao
 
Furaha yangu haijatimilika mpaka Mtoto Wa mkulima na wenzake wawajibishwe na kupelekwa mahakamani.Teh teh teh wapi Msalani.
 
Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think tunayo moments bila kufikiri kwa akili.
 
oya Matola waite wale wadau wa CELEB .,, Tuwe pamoja hapa. Mafisadi lazima yatage... Yachomwe.
 
Last edited by a moderator:
Tabby hajasema hivyo !

Amesema tutofautishe taasisi na mtu binafsi na wakati huo huo amesema kama kuna makosa Mkombozi Bank waliyoyafanya wakati wa kufungua accounts na kufanya transactions in question, then tajadili hayo makosa

Mwenzetu tupo pamoja kweli au ndio mapenzi yamezidi. Yaani unasema mpaka sasa hakuna kosa lililobayana walilolifanya?
Ama kweli akipenda chongo huona kengeza
 
Dalali kivipi?, unaweza kuwa Dalali bila kupata chako?, Muhongo kapata ngapi ya udalali?, hebu onyesha makosa ya Muhongo yako wapi?yeye kaingia Wizarani kakuta kuna kesi isiyoisha na Mkono kila siku anakula pesa za Tanesco hakuna kinachofikia muafaka, kama waziri akawakutaniaha Wadai na Wadaiwa wamalize tofauti zao, yeye kakaa pembeni, sasa ulitaka Muhongo kama Waziri afanye nini, azidi kumgawia Mkono pesa ya uwakili wakati issue inaweza kuisha kwa Mdai na Mdaiwa kukutana?Wizi wa ESCROW UPO NA KWELI PESA YA WANANCHI IMEIBIWA, NA KUNA WATU WANAPASHWA KUWAJIBISHWA, LAKINI NI MKITENDO CHA AIBU KWA MTU KAMA Zitto, kutafuta mwanya wa kumuingiza Muhongo Kwenye hiyo report Muhongo anafit vipi vipi kama sio kwa interest za Zitto na Genge lake? yaani bila Muhongo huo wizi usingefanyika?
Utakuwa Na malaria kali Sana unamtetea muhongo? Unamuita zitto Na genge lake? Wakuchunguze Kama hujapata hizi fedha zilizoibiwa utakuwa Ni juha namba moja hapa nchini. Kamati ya zitto imefanya kazi iliyokubaliwa Na watanzania zaidi ya asilimia tisini na tisa ukiondoa asilimia moja ya mafisadi Leo unaiita Ni zitto Na genge lake. P.umbavu wewe.
 
Last edited by a moderator:
Faiza Foxy, Msalani,gsu, Simiyu Yetu, na vilaza wengine wa Lumumba kuja kipande hii!Msisahau kumshtua East African Eagle

East eagle hivi huyu ni nani vile sio
Werema kweli maana anavyoshupaliaga hili swala lazima wanamaslahi ya moja kwa moja
 
Hayawi hayawi sasa yamekua ..
mnaomtakia mabaya Mh. Pinda a.k.a mtoto wa mkulima sasa mmeumbuka

Pinda msafiii .. hajakomba hata Tsh ya Escrow .

Movement ya Mtoto wa mkulima kuelekea Uchaguzi mkuu , bado upo pale pale .

We better talk with evidence .

wewe ni Mandela fake.
hapa anawajibika kwa collective responce kwa mujibuwa katibana ya Tanzania 1977 akiwa kiongozi na msimamizi wa baraza LA mawaziri.
 
Back
Top Bottom