Mkuu sikiliza vizuri ITV watarudia muhongo anahusika moja kwa moja
Sema wewe ni mwizi !
Lakini usitujumuishe na wakristo wengine (tena wengi tu) ambao hata kama tuna hela ambazo zinaweza kuonekana ni nyingi lakini zimepatikana/zinapatikana kwa njia za halali !
Jisemee wewe mwenyewe, usitusemee sisi wengine !
Hivi kwanini Watanzania tunaangalia kila jambo kihasihasi? Maaskofu ni watu kama Sisi..kuna ushahidi gani kuwa walijua kuwa Fedha hizo sio Mali halali ya Rugemalila? Hivi kama Fedha hizo walizipokea kama mchango wake katika ujenzi wa shule au kabisa..kuna dhambi gani kwa maaskofu hao. I think tunayo moments bila kufikiri kwa akili.
Na ITV watarudia kipande hicho kinachotaja jina la Muhongo kwa sababu maalumu,
Sio kama Muhongo hana mapungufu la hasha, lakini kwenye hili unaposema anahusika moja kwa moja kwa ushahidi gani?
Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa? Nataka kuelewa tu!!
Achana nao Hawa mkuu wana upeo mdogo WA reason wanataka kutuambia lowassa Na mengi waliagiza waibe fedha wagawane.this is nonsense.Miye nashindwa kuwaelewa mnaohusisha watu kama Lowasa, Mengi n.k juu ya suala hili eti wana malengo yao ya urais na vitalu vya respectively. Hivi ina maana Lowasa na Mengi waliwashauri watu hawa wapige hili deal????Wizi umefanywa na wezi hawa kwa manufaa yao, kamati imefanya uchunguzi na repoti imesomwa bungeni na imedhihirika bila mashaka yoyote kuwa wezi hawa wamehusika katika wizi huu, Je Lowasa na Mengi wanaingiaje hapa???
Na ITV watarudia kipande hicho kinachotaja jina la Muhongo kwa sababu maalumu,
Sio kama Muhongo hana mapungufu la hasha, lakini kwenye hili unaposema anahusika moja kwa moja kwa ushahidi gani?
Mimi huku ni kwa sababu maalum kama leo...sipawezi kabisa
Kuna mambo sijayaelewa vizuri na taarifa hii ya Zitto..kwamba AG kaipotosha benki Kuu kuhusu kodi ya VAT...tangu lini kazi hiyo ya assessment ya VAT ikafanywa na AG? Kwani Wizara ya fedha au TRA hawakuwepo kutoa ufafanuzi. Kamati ya Zitto ina uelewa upi wa Sheria kubaini kuwa hukumu ilipotoshwa? Nataka kuelewa tu!!
Nashangaa sana watu wanapenda vya bure pole yao.
Gemu mbichi sana kesho watoto wa kiume ndiyo wanashuka uwanjani leo walikuwa wanazungumza wavulana kesho ndiyo wanaongea wanaume sasa.
Unataka kuolewa?We kilaza umeniquote hapo juu nikimcheka bibi mwenzako Faizafoxy alivokuwa anakejeli watu Wanataka Umeme wa bure, huajnielewa kilaza ukadhani nasapoti wizi wenu, Boya ww