Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHENGE ANA ROHO MBAYA SANA ! PAMOJA na KUPIGA HELA NYINGI TENA ZA MARA KWA MARA LAKINI SIJAWAHI KUSIKIA AMECHANGIA KANISA , MSIKITI WALA SACCOS ! USIFANYE HIVYO BHANA .
Labda nikupe mfano halisi. Kuna mama alitaka kuniuzia kiwanja kwa hati ya mauziano ya serikali ya mtaa. Siku ya mauziano pale serikali ya mtaa nikadai ofa ile hati ya umiliki, mama akasema hati ya umiliki hana bali anayo hati ya mauziano baina yake na yule wa muuzaji wa awali na ameishi pale zaidi ya miaka 12 wala hakuwahi kubughudhiwa na serikali ikakiri kumtambua. Hati ya umiliki nikapewa jibu kuwa aliipoteza kwenye mafuriko ya jangwani.
Maelezo yake yakanipumbaza nikafanya malipo na kupewa hati ya mauziano ya serikali ya mtaa mbele ya mwenyekiti na ile ya awali waliouziana na mmiliki wa kwanza.
Kizaazaa kilikuja pale nilipoenda wizarani kuangalia namba ya kiwanja mmiliki wake ni nani. Nilikuta jina la mtu mwingine tofauti kabisa na haya majina mawili ya wamiliki waliotangulia. Kuna mtu toka 1996 ameandikwa ardhi kama mmiliki na huyo ndo anatambulika kama mwenye hati miliki. Kwahiyo huo ndo ulikua mwanzo wa kujua kama nilipigwa changa la macho.. na wale wamama mpaka leo wanajitetea kuwa ile ilikuwa ni sehemu yao ya halali. kibaya zaidi huyo anayesomeka wizarani kama mmiliki kila ninakouliza kuanzia wale wamama, serikali za mtaa na majirani kila mtu anadai kutokumfahamu huyo mtu na wala hawajawahi kumuona. Kwa maana hiyo inawezekana alijimilikisha kiwanja kile kwa njia zisizo sahihi lakini mkienda kwenye sheria yeye ndo atatambulika kama mmiliki halali kwani ndo mwenye hati miliki. Mpaka leo nimeogopa kujenga pale zaidi ya kuacha kajumba kadogo nilikonunuliana na kiwanja chake.
KUWA NA HATI YA MAUZIANO SHERIA HAIKUTAMBUI KAMA MMILIKI HALALI. HATI MILIKI NDIO KILA KITU.
Hapo ndio singasinga kapigwa changa la macho na Iptl. Labda nikuibie siri ya kufikirika. Inawezekana hati miliki mpaka sasa inamilikiwa na bank iptl alikochukua mkopo.
misikitini hatuhitaji pesa hizo zenye nasjsichenge ana roho mbaya sana ! Pamoja na kupiga hela nyingi tena za mara kwa mara lakini sijawahi kusikia amechangia kanisa , msikiti wala saccos ! Usifanye hivyo bhana .
Zile Dola million moja alizoficha visiwanii alsema ni za yatima ! ajabu zilikuwa mbali kweli.........visiwanii badala ya Sengerema !
Huyo rafiki wa masingasinga (faizafoxy)hawezi kuja kujibu chochote!! Ila pia usishangae IPTL na PAP ni huyohuyo na kilichofanyika ni kiini macho tu!!
yeye ni dalali wa PAP na JR,Kuwatumia Zitto,Mengi na Mkono ili kupangua ufisadi wake,ni hoja dhaifu
Mamie yaan acha tu. Tunavyonyonywa kodi kwenye PAYE,kwenye biashara hata ya viberiti tunaumia si kidogo lazima tufatilie
Hiyo PAYE ndo inaniua kabisa
Saaana mum, yaan unaona kijimshahara kinaongezeka kumbe na PAYE inaongezeka!
ngoja mkuu KakaJambazi aje atakufafanulia vizuri
Pacha long time no see!
Umeona mambo ya escroo
Mmiliki wa 70% ni Standard Chartered Bank Hong kong, na Tanzania lazima itakuja kumlipa.wadau wa JF naomba kusaidiwa majibu ya maswali yanayonitatiza mpaka sasa
1. Kama Rugemarila(VIP) amemuuzia Singasinga(PAP) 30%, je mmiliki wa 70% ni nani na ni kweli naye ameuza hisa zake?
2. Kama huyo mmliki wa 70% hajauza hisa zake mbona hajajitokeza kuukana umilikiwa PAP wa kampuni yake na fedha zake!?
4. Je huyo wa 70% akijitokeza leo atalipwa vipi sehemu yaESCROW
3. Kutojitokeza kwa mmliki wa 70% kukanusha mauzo je, hakumaanishi kuwa ndiyo huyohuyo aliyejigeuza kuwa PAP na kumnunua(buy out) VIP?