Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

werema ana tia huruma mashavu yame mshuka kama mimba ya panya babake leeoooo
 
Mie haya mambo siyaelewi sana.
kwani hizi hela zina uhusiano na zile zinazokatwa tukinunua umeme wa 15,000 napata unit 11?
 
Pinda must go.... Serikali dhaifu kweli kweli... yaani Richmond ilikuwa kampuni feki, bado piperlink pia wameleta kampuni hewa????????????? hii serikali ya kisenge
 
Namuona Muhongo anacheka, amefurahia nn, au kicheko cha msiba!.
 
FaizaFoxy, Ritz, MSALANI, SIMIYU YETU, jamani njooni huku mbona hatuwaoni?.
 
Victoire

Carry the bigger picture mkuu. Escrow Account ni snap shot tu ya ufisadi mkubwa unaitwa IPTL ambao wako watu hawawezi kukubali ufumuliwe wote.

Hata hilo la Escrow; mbona yote hayasemwi na Kamati zote. Where is the royal family, where is Mkono & Co.

Ukifumua the whole saga ya IPTL utapata majibu... kuna ufisadi watu hawawezi kuibua midomo kuusema. Ndiyo maana operesheni hiyo italenga ufisadi wote. Ukiwemo huo wa Escrow unaozungumzwa nusu nusu sasa.

Sasa mkuu mlikuwa wapi??? Kwamba Zitto alichofanya si kitu bali kile mnachoenda kufanya nyinyi?? Kama kawaida iwe kete ya kuuza chama na si kupigania maslahi ya kitaifa.....losers!!
 
Back
Top Bottom