Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Leo kila mbunge ame-concentrate hakuna wale wanaoongea huku wanajizunguusha kwenye viti wakati mjadala unaendelea
 
Madaktari wakae chonjo jamani, kwa utaalamu wangu wa kitabibu naona kabisa Muhongo na Werema wana hyperventilate na kuhema kwa haraka. Lazima watapata kitu kinaitwa Myocardial Infarction yani Heart Attack!
 
mmemtukana,mmemuita tumbili,na mengineyo meeengi.he mlikula ngapi name mnasemaje

shame on you!!!
 
Stanbic na Mkombozi Tafuteni Biashara nyingine maana Banking imewashinda
 
Muhongo, na mambwa wote waliopokea leo imekula..change, tibaijuka, ndani, wuuuuuwi
 
Back
Top Bottom