Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Muhongo anacheka tuu na dharau zake!
 
...naona leo Mh Zitto Zubeery Kabwe anarudi katika UBORA wake..
..Zitto Kabwe wa Buzwagi anaweza akarudi leo?...akaibuka SHUJAA na kubebwa kama kipindi kile
 
Muhongo huwa anatumia ukali kama kinga,hana lolote yule,acha akakamate chaki
 
bil.78 zilitolewa kinyume na sheria, kwa hili PENGO anapaswa aende lumande.
 
Umeisikia CCM ikitajwa hapa?
Hahahaaaaaa mkuu unafurukuta ila msumari hautoki...
Hiv serekali inaongozwa na chama gani vile?
Teh teh teh hivi wahusika wakuu hata wadogo wanatoka chama gani vile?
Hahahahaaaaa hili mnalo mayai viza nyie...
 
Tanzania ya wapigaji.ila hawataganywa kitu hao.
 
Hivu hamnisikii au

Nauliza mbona pesa tajwa awali yaabi billion 300.. hazijaonekana .

Mgawanyo wa pesa na watu waliotajwa ni wachache. Kulinganisha na hizo pesa

2. Mgawango ni wa account ya Mkombozi tuuu , vip pesa zilizopo Stanbic bank . ?
 
muhongo ndio aajue kuna watu sio wa kulumbana nao nchi hii,mengi si mtu wa mchezo amu ulize comrade wilson masilingi.
 
Back
Top Bottom