Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

aIYAAAA!!!! Kanywa yale maji jamani Deo! Tena kagugumia! Mweh!
 
Mbeya umeme wamekata wakati tupo patamu na stering deo!!! Ccm vipi hawa?
 
Si ndio hapo,hao viongozi walafi shida sn. Sasa mihela yote hiyo ya nn na wakati huduma zote anapewa na kanisa. Waumini kutwa kuhangaika ili mapadri na maaskofu wasipate shida lkn kumbe wao hawaridhiki........duh ni hatari aisee.

hii ni aibu kubwa sana kwa kanisa ,kila jumapili tumaimba toa ndugu toa ndugu ulichonacho wewe na tunatoa kumbe wakitoka wanakula mlungula wa escrow .Kilaini umelitia aibu sana kanisa
 
Naona kama maoni kuhusu viongozi wa kisiasa yamepozwa.hawa walitakiwa wapigwe risasi
 
Huyu Deo naona anawaficha hao vinara wa serikali....

Hayo mapendekezo hawawezi yatekeleza kw maana mihemuko itaisha leo tu...
 
Askofu Zangu Kilaini Na Nzigiwa Asanteni Sana Sitatoa Sadaka Tena Tena Na Wote Wawili From This Time Naenda Kuwa'unfriend Kule Fb. Very Sad N Disappointed My Faith Has Shaken.
 
Back
Top Bottom