Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio hapo,hao viongozi walafi shida sn. Sasa mihela yote hiyo ya nn na wakati huduma zote anapewa na kanisa. Waumini kutwa kuhangaika ili mapadri na maaskofu wasipate shida lkn kumbe wao hawaridhiki........duh ni hatari aisee.
Mbeya umeme wamekata wakati tupo patamu na stering deo!!! Ccm vipi hawa?
Kazi tuliyotumwa na umma tumeimaliza,
Naona kama maoni kuhusu viongozi wa kisiasa yamepozwa.hawa walitakiwa wapigwe risasi
Hawa akina ZITTO jana usiku hawajalala wamekesha ofisi za bunge kulinda report yao, ila maisha yake bila shaka yatakuwa matatani. Akumbuke kilichomkuta MWAKYEMBE
Waendee tu Facebook sijui walipata kimgao cha kutetea
Kwakweli Zitto NI asset to the Nation TANZANIA.
Lowassa yuko wapi!!!!!?????
Hata mie nimeona nikashangaa maana leo wamemuona anafaa. Shame on him (Tundu Lisu)