Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiamini.Mamelod golini kwao wanapenda kuchezea shilingi chooni, mipira wanalazimisha kuanza nyuma, na wakiwin mipira golini kwao hawataki kupiga mbele wao ni kulazimisha kutoa pasi tu. Ni mpira biriani wakijinga huo
WAmekamiana sanaFirst half imeisha haraka sana
huyu fala alikua anatoa matokeo au makisio!!?😈😈😈😈Al ahly 2 mamelod 1
Wapate hata goli moja halafu ndo waanze maringo yaoWanajiamini.
.
You tube wanarusha tena poa kabisaMkuu nategemea kupata up date kutoka hapa mazee.
Hivyo jitahidi kila tukio muhimu uwe unatujulisha, leo niko mbali na tv, alafu hii game ni muhimu sana.
Natanguliza shukrani.
Usiwaamini sana hao bro, hawaaminiki pia kwanini VAR haitumiki leo?Waarabu wanabebwa sana masandawe piga waarabu koko.
Majeruhi na ndio kitu kina igharim sana Mamelody Zwane anacheza false namba 9 team inakosa uwianoSijamuona Shalulile na Mokoena wanashida gani?
Ndio maana nimesema wanabebwa kwasababu kuna maamuzi sio sahihi.Usiwaamini sana hao bro, hawaaminiki pia kwanini VAR haitumiki leo?
Wana wachezaji wazuri ila panchaMajeruhi na ndio kitu kina igharim sana Mamelody Zwane anacheza false namba 9 team inakosa uwiano
Mokoena kama sikosei jamaa huwa kiungo poa sana
Memelody tujuane