Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

Kwanini waarabu hamuwapendi!! Imagine Mamelodi anacheza na chelsea au man u au enyimba, hivi mtafanya kama ilivyo kwa waarabu!! Huu ubaguzi sijui lini utaisha
Wewe akili yako ni fupi mno hapo ushahusisha uislamu na al ahly wakati kiuhalisia huko al ahly yupo pery tau na antony modeste ambao ni wakristo nikwamba watu wanashabikia timu wanazozipenda sasa wewe sijui una mamlaka gani mpaka uhoji hilo kuku wewe
 
Sema kipa wa Mamelodi ni shujaa, ule msako sio mchezo
Williams huyu jamaa ndio kipa Bora afrika sema huwa hazungumzwi sana na nadhani ndie mchezaji Bora afrika kwa Sasa
Kutoa penalty kwake huwa hata sio shida
Kufanya save ni kawaida kuanzisha mashambulizi kawaida
Tangu game ya Petro de Luanda hadi Leo ye ndie man of the match
 
Williams huyu jamaa ndio kipa Bora afrika sema huwa hazungumzwi sana na nadhani ndie mchezaji Bora afrika kwa Sasa
Kutoa penalty kwake huwa hata sio shida
Kufanya save ni kawaida kuanzisha mashambulizi kawaida
Tangu game ya Petro de Luanda hadi Leo ye ndie man of the match
Hajafungwa penalty toka msimu Jana wa CAF
 
Mamelodi alinyimwa penalti ya wazi kabisa !
Yote kwa yote nimefurahi Ah Ahly ametolewa .
Walikuwa Wanasubiri mbeleko ya refa dakika za lala salama var ikawaumbua.
Aliyegundua var Kweli Ana maarifa mengi na kama sio bao la Frank lampard kusawazisha dhidi ya ujerumani Kwenye Euro likakataliwa pengine tusingeona var kwenye football au ingechelewa kuingizwa.
Uwanja wa Cairo uliojaa watu 50000 dakika za mwisho ulikuwa kimya kama hakuna washangiliaji.
Hakika mamelodi alikaza sio Suala la mchezo Al ahly kutolewa kwake.
Ile VAR pale ni Refa alijishtukia, couz alishanyima mamelodi penalty, ko angeidhinisha pale kwa al ahly ingekua uonevu wa waziii.

Mbna matukio mengi wakifanya Al ahly haend kwa VAR??
 
Back
Top Bottom