Ahsante Mtani japo ni kama tumeingiza mguu mmoja Quarter Final.
Ni kikosi hikihiki cha dhahabu lakini kilishatoka kwenye reli kikaanza kupoteza mechi na kupelekea Gamondi kuondolewa, ni chini ya Kocha huyu kikosi kimerudi kwenye reli na kuanza kushinda mechi zake mfululizo.Huyu kocha wala asishangilie, ni bahati tu tuna kikosi cha dhahabu ila hana lolote.
Ndo hapo sasa.Kwanini asifugwe?
Unatesekea wapi?Uto leo hamchomoki
Ndugu BRN, rudia kusoma nilichokuambia..!!! mmeanguka kwa pamoja..!!!hatawaangusha peke yenu, mtaanguka naye kwa pamoja..!!
Nilijua mechi ishaishaaa nyuma ya uwanja....Umejifunzia wapi matusi makubwa makubwa namna hii?
Eti Bantu Lady na Shadeeya watani zangu, haya si ni matusi kabisa Kalpana kawaamulia leo
Akaunti yako imehakiwa ama? π³Hongera mtani
Rudia mtani nimeedit kidogooo...Akaunti yako imehakiwa ama? π³
Kalpana?
Anatoa hongera kwa timu pendwa Yanga?
How is this possible? π³π³π³
Haka kademu kanajipaga umuhimu alafu kanajikuta smart kenyewe πππAcha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?
Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Wanao umia watakua hawana kazi za kufanya zaidi ya kuumia labda.π€£π€£π€£π€£π€£π€£
View attachment 3200296
Wanajitafutia faraja kwetu sisi sio watoa ushauri nasaha...Wanao umia watakua hawana kazi za kufanya zaidi ya kuumia labda.
Kombe gani hili tena
Uwiii. πππHuu ndiyo muda wa kubana ndeke jamani. Wengine vidole please πͺ
Vyura hawana ubavu huoKwanini asifugwe?
Nani alikwambia nateseka wakati lnina furaha Simba imefuzu robo fainaliUnatesekea wapi?
We umeona hiyo ni pumba sio bas subiriMmeanza kuandika pumba, hivi unafikiri mtaifunga MC Alger?