Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Yani Ibenge akifungwa goli zaidi ya mbili atakua kajidhalilisha mnoo...yani mtu wa point 4 amfunge goli 2 jamani na kuendelea...uwiii nafwaaaaaaaaaaaaaa
Ila kushinda mtashinda leo...
Huo ndo ukweli mtamu wana Calkuleta FC
 
Ngoja tuwashihudie mkitolewa. Droo yoyote iwe ya nguo au viatu lazime iwatoe nje
 
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni





*Leo Ndiyo, Leo Kivumbi Na Jasho
 
Karibuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)

Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?

Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..

#TotalEnergiesCAFCL
Mungu Tunaomba Sisi watoto wako uipatie Timu yetu hii Tunayoipenda sana Ushindi.
Tunahitaji kushinda hii mechi.
Asante Mungu kwa kujibu maombi yetu.
Amen!!
20250112_212520.jpg
 
Mkuu tusijifariji mchezo ushaisha ibenge kashapewa chake kasema atawapangia kikosi b eti kashafuzu kwahiyo hataki kuwachosha key players wake, msomali kashafanya yake safari hii yanga wameamua kutafuta ushindi kwenye kila mechi kwa namna yoyote mradi wasiaibike, wakiwaza zile mbwembwe za kujifanya wana kikosi kipana na kuwauliza watu "we hauogopi" halafu cafcl waje kuishia makundi na nbcpl wakose ubingwa wataambia nini watu

View attachment 3199794
Wewe umekiona kikosi? Ibenge kaweka full mkoko
 
Karibuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)

Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?

Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..

#TotalEnergiesCAFCL
Sawa. Wapenzi na washabiki wote wa Yanga, hakikisheni mna Calculator zenu pembeni. Ila pamoja na utani wa jadi, itakuwa jambo jema sana Yanga wakishinda hii mechi, na hata inayofutia.
 
Shabaniiii weeeeee shabaniiiiii!

Mtaniiiii kila la kheri

Tatizo ulinicheka first half nilivyofungwa na bravooo!
 
Ngoja nikalale mie mechi ya mtu aliefuzu na ambae yuko mkiani nayo mechi?? Kupotezeana muda tuuu...
Loloete nawaombea my byutiful utopolo...
Ila nimeshatoa utabiri wangu hapo juu...
Hata mimi ngoja nikalale tu
 
Muda umefika wa utopwinyo kunyolewa kwa sime.

Leo atapigwa mpaka achakae.
 
Mungu Tunaomba Sisi watoto wako uipatie Timu yetu hii Tunayoipenda sana Ushindi.
Tunahitaji kushinda hii mechi.
Asante Mungu kwa kujibu maombi yetu.
Amen!!
View attachment 3200028
Yaani kocha kampanga Diarra halafu wewe unaleta mizaha eti Mungu aipatie Uto ushindi...

Acha bangi we chura wahed.

Leo kuna pazia na shati kwa goli la utopwinyo
 
Back
Top Bottom