Bongo wanakuza tuu mambo na misemo calculator ya nini bwana nyie mbona simple kabisa wala hamna shida ya kikokoteo.Mshaanza Mzab. 🤣🤣
Yaani tunakoelekea mtatuona watu wa mana sana tunavyotembea na calculator. 😂
Shinda mechi mbili zilizobakia robo mmeingia.