Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Hizi dalili ndiyo zilezileeee!Tafuta vidonge vya sukari na pressure uwe navyo kabla ya mchezo kuanza.
Yaani yoyote shabiki wa Yanga kama ana hitilafu flani kwenye ubongo!
Tumia dawa zako mapema sana kabla mechi haijaanza 😁😁😁😁