Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Tafuta vidonge vya sukari na pressure uwe navyo kabla ya mchezo kuanza.
Hizi dalili ndiyo zilezileeee!

Yaani yoyote shabiki wa Yanga kama ana hitilafu flani kwenye ubongo!

Tumia dawa zako mapema sana kabla mechi haijaanza 😁😁😁😁
 
Mjumbe usituangushe
images.jpeg
 
Kiswahili: Gusa, Achia, Twende kwao

Kiingereza: Touch, Let Go, Let's Go to Their Place

Kifaransa: Pousse, Lâche, Allons chez eux

Kihindi: धक्का दो, छोड़ो, चलो उनके पास चलते हैं।

Kigogo: Pamye, lechele, chibite kwawo

Yanga Bingwa...

CC: Kolozidad United...
Sio chibite ni cibite
 
YANGA club above all 🇹🇿💚💛
Yanga anashinda bao 2 na anaondoka na points 3 muhimu... Hii YANGA inaenda Robo hata CAF wanajua hivyo na wanasubiri kwa hamu...
 
I had the most amazing dream today! I dreamt that Yanga was going to win this game, with the final score being 3-2. The winning goal was going to be a fantastic free kick scored on the left side of the goalkeeper.
Mmekamatika sanaa,Yanga anaomba mengii sanaa
 
Mkuu tusijifariji mchezo ushaisha ibenge kashapewa chake kasema atawapangia kikosi b eti kashafuzu kwahiyo hataki kuwachosha key players wake, msomali kashafanya yake safari hii yanga wameamua kutafuta ushindi kwenye kila mechi kwa namna yoyote mradi wasiaibike, wakiwaza zile mbwembwe za kujifanya wana kikosi kipana na kuwauliza watu "we hauogopi" halafu cafcl waje kuishia makundi na nbcpl wakose ubingwa wataambia nini watu

IMG-20250111-WA0006.jpg
 
Karibuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)

Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?

Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..

#TotalEnergiesCAFCL
Leo Africa nzima itatutambua
Yanga 3
Al hilal 1
 
Mkuu tusijifariji mchezo ushaisha ibenge kashapewa chake kasema atawapangia kikosi b eti kashafuzu kwahiyo hataki kuwachosha key players wake, msomali kashafanya yake safari hii yanga wameamua kutafuta ushindi kwenye kila mechi kwa namna yoyote mradi wasiaibike, wakiwaza zile mbwembwe za kujifanya wana kikosi kipana na kuwauliza watu "we hauogopi" halafu cafcl waje kuishia makundi na nbcpl wakose ubingwa wataambia nini watu

View attachment 3199794
Kikosi cha kwake ibenge, ameamua mwenyewe kupqnga hivyo wewe unaumia

Maajab
 
Back
Top Bottom