Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta vidonge vya sukari na pressure uwe navyo kabla ya mchezo kuanza.Aah wapi!
Jipe moyo! Saa itafika!
Me ndo nilicheza na mama ako muulize nilimfunga bao ngapi?Mlipocheza fainali mkachapwa mama yako alicheza namba ngapi?
Upo kama mimi mkuuKisirisiri napenda yanga akandwe ila kinuonekano naonekana yanga ashinde
Tafuta vidone vya sukari na pressure uwe navyo kabla ya mchezo kuanza.
Uzuri tutamaliza nafasi ya pili kama ulivyosemaHatimae mpo nafasi ya pili, hongera kwa aliyegundua calculatorView attachment 3199037
Mkikandwa njoo nikupe mimi nna calculator moja matata sanaYanga inipe raha mie..!💛💚💥
Mwaka huu ndio ulikua mwaka wa kuweka historia ya kubeba au kufika hata fainali, lakini gemu 2 za mwanzo zimeleta kigingi, tuombe Mungu tutoboe kwenye hili group.Nimeangalia mechi nyingi za cafcl kwa Yanga hii iliyojipata ikishinda group stage mostly mechi ya Leo basi final hii hapa
Ni Ahly pekee ndio team itakayotusumbua
Leo utafurahi sana 💚💚💛Yanga inipe raha mie..!💛💚💥
Weka video na Mimi niweke video
Weka video na Mimi niweke video
Kwahiyo, hapa wewe uliandika ukiwa umelala? Au uliandika ndotoni?Mlale kwanza kwan mnalipwa
Tayari mmeanza kujiandaa na maneno yenu ya anadhamini timu nyingiHii ya Leo ni fixed Game ila Dua zangu nazielekeza Mtakapokutana na Mc alger chochote kibaya kiwakute.
Tunza hii uje ushangazwe..!!Yanga anakufa
Na sindano ni kubwa piaTimu kubwa,taifa kubwa,mashindano makubwa na uhitaji wa matokeo ni mkubwa,mipango mikubwa,wachezaji wakubwa,mchezo ni mkubwa,matokeo ni moja tu YANGA AFUNGE,AU AL HILAL APIGWE. KILA LENYE KHERI YOUNG AFRICANS SC. FT 0 3