Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Yanga mkafungwe goli za kutosha.

Ubaya Ubwela
 
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
YANGA atafungwa na hata akifunga, bado atabaki nafasi ya tatu. Just wastage of time and resources
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…