Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo yupo kwenye kundi la mashabiki wanaotamani Yanga ifanye vibaya ili amkosoe vizuri Hersi SaidWaja mna maneno sana, sasa huyo kocha si ndio kapanga hicho kikosi
😀😀Huu ndiyo muda wa kubana ndeke jamani. Wengine vidole please 😪
Siku zote me huwa namuona ni kiungo mbabaishaji. Kweli, anajitahidi kukaba lakini ubunifu kwake ni 30% tu plus si mpiga pasi mzuri.Muda kama ana fatigue
Ni bora wao wavuke kuliko nyinyi mtaliaibisha taifaNo offense: Wale waliocheza na mazembe ?? Au wengine
Hata tusipowafunga wale jamaa hawana mpira huo mkuu nakataa
Hata wakivuka robo hawatofika mbali
Atakula za kutosha.Mmeanza kuandika pumba, hivi unafikiri mtaifunga MC Alger?
Duuh! Shughuli yote ile kumbe wako palepaleMsimamo wa nini wakati nafasi bado ni ile ile kilicho ongezeka ni points tu kutoka 4 hadi 7 !.
Unamaanisha uto?Atakula za kutosha.
Pass mimi ndo ananiudhiSiku zote me huwa namuona ni kiungo mbabaishaji. Kweli, anajitahidi kukaba lakini ubunifu kwake ni 30% tu plus si mpiga pasi mzuri.
Naitafuta kument ya huyo fala nimzabe tusi zitoNo offense: Wale waliocheza na mazembe ?? Au wengine
Hata tusipowafunga wale jamaa hawana mpira huo mkuu nakataa
Hata wakivuka robo hawatofika mbali
MC hatuta mfunga, tutamshenyentaMmeanza kuandika pumba, hivi unafikiri mtaifunga MC Alger?
Huyu kocha mweupe sana, ni wachezaji wamejipata tu, hajawaongezea chochote.Huyu kocha wala asishangilie, ni bahati tu tuna kikosi cha dhahabu ila hana lolote.
Hapana mtani siunaona saizi kdogo kidogo tunarudi...Ni bora wao wavuke kuliko nyinyi mtaliaibisha taifa
amechoka sana aanze duke kutawala dimbaMuda kama ana fatigue
Nahisi kocha kaliona hiloamechoka sana aanze duke kutawala dimba
Basi tukupeni mutale mutupe huyo muda!Siku zote me huwa namuona ni kiungo mbabaishaji. Kweli, anajitahidi kukaba lakini ubunifu kwake ni 30% tu plus si mpiga pasi mzuri.