Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata asingepanga kingecheza hichohicho 😂Waja mna maneno sana, sasa huyo kocha si ndio kapanga hicho kikosi
Tunzeni meseji zenuMC hatuta mfunga, tutamshenyenta
Leo nimenyoosha mikono, halafu linajiamini likiwa na mpira, pasi za uhakika hana papara.Aucho ni kitu kingine kabisa, Juu mtamu, battle mtamu, tackling mtamu.
Ana zaidi ya kilo 75, lakini anafanya vurugu zote.
Nibahati kubwa Yanga tumepata.
Mnarudi wapi?Hapana mtani siunaona saizi kdogo kidogo tunarudi...
Haiwezekani aheri tukapaki Semi huko robo fainali
We unajua kutizama mpira kweli. Aucho hana pasi za ubunifu zinazomleta magoli ila ktk kukaba anakaba. Na kwa uzito wake anajitahidi kucheza faulo mbali yaani mtu akimuacha miguu miwili anacheza faulo ili asije akaleta madhara.Siku zote me huwa namuona ni kiungo mbabaishaji. Kweli, anajitahidi kukaba lakini ubunifu kwake ni 30% tu plus si mpiga pasi mzuri.
Acha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?Huyo yupo kwenye kundi la mashabiki wanaotamani Yanga ifanye vibaya ili amkosoe vizuri Hersi Said
Sure, game ngumu ilikua hii kwangu mmNo offense: Wale waliocheza na mazembe ?? Au wengine
Hata tusipowafunga wale jamaa hawana mpira huo mkuu nakataa
Hata wakivuka robo hawatofika mbali
Hapo uliropoka madamAcha upumbavu wewe, mbona wakati namsifia hukusema haya?
Yani afanye maamuzi ya kipuuzi ya kumfukuza kocha nimsifie badala ya kusema ukweli?
Hersi ataondoka ila Yanga itabaki, na mimi ni shabiki wa Yanga sio Hersi.
Aucho anakabaWe unajua kutizama mpira kweli. Aucho hana pasi za ubunifu zinazomleta magoli ila ktk kukaba anakaba. Na kwa uzito wake anajitahidi kucheza faulo mbali yaani mtu akimuacha miguu miwili anacheza faulo ili asije akaleta madhara.
Mujinga mujinga alisikika akinena......kumbaf wwMmeanza kuandika pumba, hivi unafikiri mtaifunga MC Alger?
HUyo bakini nae tuBasi tukupeni mutale mutupe huyo muda!
Mada inamuhusu MudathirWe unajua kutizama mpira kweli. Aucho hana pasi za ubunifu zinazomleta magoli ila ktk kukaba anakaba. Na kwa uzito wake anajitahidi kucheza faulo mbali yaani mtu akimuacha miguu miwili anacheza faulo ili asije akaleta madhara.
Hadi leo msimamo wangu ni uleule, haukuwa uamuzi sahihi.Hapo uliropoka madam
Viongozi wanajua mengi kuhusu timu kuliko sisi Wanachama
Ulikuwa na haraka ya nini kulalama hadharani
Mutale ni Kisinda aliyenenepa na Mukwara eti ni Jobe Mtupu.Basi tukupeni mutale mutupe huyo muda!
Mangungu outMechi mbovu saaana
Hadi kesho naamini kama sio kumkosa Aucho tungekuwa na kombe la shirikisho, huku tukienda nusu fainali klabu bingwa msimu jana.Aucho anakaba
Pia anadictate timu icheze vp, anakuja kuhamisha uwanja , zile long pass nyingi sana hua ni accurate
Jamaa mtu sana pale kati
Sioni substitute yake tunaipatia wapi