makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Yanga imeanzia ilipoishia, simba tunajitafuta, azam bado.Sasa ligi haijaanza umeanza kukataa tamaa unajua ligi itakuwa na ushindani gani?
Sijaona hoja ya msingi uliyo nayo. Ligi iaanze ndio tuanze kufanya analysis
[emoji23][emoji23]Huu msemo tujaribu kuuepuka, baadhi yetu unatugusa
Rudi kakacorrect core: Azam 1 - 3 Yanga.
Bila D mbili hawatakuelewaYanga imeanzia ilipoishia, simba tunajitafuta, azam bado.
Sasa unataka niseme yanga wabovu kisa tu mie simba. 😄 🤣
Huwezi kuona hoja, kamwe hutoweza kuona hoja yangu.
Mlimtaka mchukueni.....mumlishe ashibe Utopoloni huko...Kolo kahamia yanga!! Chama ndio kolo!!
Lamba lambaHivi hii ni Azam au adham
Kocha alifeli kujaribu mfumo wakati unacheza na mkubwa mwenzio.Nimewaelewa sana.
Very Technical, wametulia sasa!!
Chama kajichanganya hana nafasi Yanga.chama anapewa dakk za jioniiii
Kabla yaa saa 7 ilikuwa wacheze saa 5Mwanzo walipanga saa 7
Yaani kwa ufupi hakuna pasi nyingiNmependa mbinu za gamondi Leo
Pasi moja mbili tunamtafuta dube
mmebahatisha tu,ngoja turudi second halfUmekubali yanga ni dude kubwaaaa sanaaaa
Wapi bwana, acheni kujifariji na kutafutiza ushabiki. Hamna timu pale na wala huo mpira wa speed haupo. Nimeangalia mechi toka ya APR, Yanga na ya leo dhidi ya Coastal Union.Kama unaangalia mpira ukiwa sitimbi inawezekana video zenu zikawa zinaonyesha slow motion....