Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kuna sehemu nimesema tuseme Yanga wabovuYanga imeanzia ilipoishia, simba tunajitafuta, azam bado.
Sasa unataka niseme yanga wabovu kisa tu mie simba. 😄 🤣
Huwezi kuona hoja, kamwe hutoweza kuona hoja yangu.
Mi kiukweli sijaupenda ni dhihaka fulaniHuu msemo tujaribu kuuepuka, baadhi yetu unatugusa
Kwa hapa sio D tu inabidi awe na C 3Bila D mbili hawatakuelewa
Tulia timu sandaKuna sehemu nimesema tuseme Yanga wabovu
Wewe subiri ligi ianze huwezi presha za mpira kaa pembeni
Eti sitaki ugonjwa wa moyo tuachie Simba yetu 🤣
JidanganyeYanga imeanzia ilipoishia, simba tunajitafuta, azam bado.
Sasa unataka niseme yanga wabovu kisa tu mie simba. 😄 🤣
Huwezi kuona hoja, kamwe hutoweza kuona hoja yangu.
Nadhani azam wana luck kocha mwenye mbinu. Miaka nenda rudi, wana kikosi kizuri lakini sasa hawana impact. Time for wakurugenzi waangalie wana feli wapiWamefanya vizuri ila Yanga ni kipimo kikubwa kwake. Hawezi atasuffocate vibaya mno akijifanya kujaribu kuleta ubabe kwa Yanga
Hizi comment kwangu huwa nimeweka ignore button hazinishtui kaka angu....endelea kuangalia kwa jicho lako la lenzi mbinuko....Wapi bwana, acheni kujifariji na kutafutiza ushabiki. Hamna timu pale na wala huo mpira wa speed haupo. Nimeangalia mechi toka ya APR, Yanga na ya leo dhidi ya Coastal Union.
Hamuna mpira wa speed. Acheni kujitekenya dogo. Jipangeni kwa msimu miwili mbele ila kwa sasa hamna kitu.
Tutaonana ni suala la muda tuTulia timu sanda
Kuna watu wabishi kuelewa MAKOLOW tokea msingi wa kwanza Yanga anachukua Kombe ,tatizo lao kuu ni ubishi hawataki kukubali wamezidiwa.Yanga imeanzia ilipoishia, simba tunajitafuta, azam bado.
Sasa unataka niseme yanga wabovu kisa tu mie simba. 😄 🤣
Huwezi kuona hoja, kamwe hutoweza kuona hoja yangu.
Unaonaje😅Sijui niwacheke saizi au tu nisubiri baadaye??
Kwa mpira upi, Wakirudi na mentality ya kurudisha tinawafunga 5 kwa moja kama Kaka zaoHawa Young Africans kipindi cha pili watarudi Jangwani kwa kilio cha kushindwa mechi hii ya Community Shield 2024
Maoteo dakika 90' za mechi inaisha :
Young Africans 3 - 4 Azam FC
Watu wamekosa utu kisaa ushabiki wa mpira...Mi kiukweli sijaupenda ni dhihaka fulani
Sio kila jambo tunalianzishia trend
Simba yenu.. nyie vijana wa D 2 mna tabu, haya kaeni na hiyo simba yenu, mie huko dunia ya kusifia tu mradi hiki ndio nikipendacho, NISHATOKA hukoKuna sehemu nimesema tuseme Yanga wabovu
Wewe subiri ligi ianze huwezi presha za mpira kaa pembeni
Eti sitaki ugonjwa wa moyo tuachie Simba yetu 🤣