Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Au sioWako vizuri wapi subiri muone, kila lakheri Yangaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sioWako vizuri wapi subiri muone, kila lakheri Yangaaa
Kwa hiyo?Ata ile last mech alianza yeye.. mwishoni akakimbiaaaaa
Ungetabili hili la kifungwa kwanzaYanga watachomoa na kushinda
Leo 😹Ulozi umeanza lini ?
ni dalili za upungufu wa nguvu za kiumeMbona bao la mapema sana
Bro umetamani?Afu fei wala hajavaa tait ndo nini lakini akipigwa mpira hapo kati si hatari, mbona anajirisk......
Cha kwanza kitamInaanzaga hivi inaisha na kurudishiwa viwili
Au sioKwanza mamipira ni haramu 😡
😂😂😂 Mashine ya kuwapigia uto hiyoAfu fei wala hajavaa tait ndo nini lakini akipigwa mpira hapo kati si hatari, mbona anajirisk......
Usishangae maana watoto wa 2000 wengi hawanaga nguvu za kiumeMbona bao la mapema sana
DuuuuFei hana maajabu
AiseeeeeeChuma cha kwanzaaa..!💚💛🔥🤸