Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Muniombee😹😹Bro unatamani sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muniombee😹😹Bro unatamani sana.
Mlibebwa refa alikuwa wenu ila poa Oktoba sio mbaliMlipewa nafasi ya kucheza na sisi mkashindwa kuitumia pyeeeee
Mimi yule zaka zakazi aisee yani sijui wanajikuta Barcelona au pSGIla kale kasemaji kao sijui ka Ibwe kananiboaaa....nampenda fosali ila kale kajamaa ndo kanifanya nishindwe kuamua...😃😃😃😃😃😄😄😃😄kanakashfa kameshajiona timu yao ni real madrid...
Anajifaliji🤣🤣🤣Yaani ufungwe nusu ndio uweze fainali?
Yeye anajiona ni super kwavile tunakaona uko kwenye TV zao🤣Kanaboaa utani wa Ahmed na Ally hauwezi..wenzie ni mabest friend nje ya hapo...
Sinaga ushabiki maandazi, nimeanza kupenda soka enzi hizo, siku hizi soka ni burudani zaidi kuliko ushabiki.Umerusha kitaulo mwanetu wa Msimbazi?
Mwasibu tunaye na tunatamba Vilevile 🤣Diara tunaye na tunatamba naye. 😀
Chama amejikuta ameingia choo cha kike!!! benchi linamhusu!!! kazi yake ni kuwashangilia wanaume wenzake!!Wapi Chama
Tena Zakaaaa wakiwafunga leo ataandika topic mwezi mzima😃😃Mimi yule zaka zakazi aisee yani sijui wanajikuta Barcelona au pSG
Hizo krosi zimepigwaje?Krosi mbili za Azam FC kutoka kulia kwenda kulia na kurudisha nyingine kutoka kulia almanusura kumfunga Diarra lakini unakuwa mwingi na kutoka
Hakuna kitu,kipa na beki za Azam hakuna kitu,poor communicationAmechanganyikiwa we huogopi ndugu yangu
Mna hasira naye bado? Kubalini yaisheFeisali katoka nini mbona simsikiii
Chama hawezi hizo mbio za SGR angekua Simba pia angekaa bench....Fadlu nae ni mpira wa kasiChama aqmejikuta ameingia choo cha kike!!! benchi linamhusu!!! kazi yake ni kuwashangilia wanaume wenzake!!
Sasa ligi haijaanza umeanza kukataa tamaa unajua ligi itakuwa na ushindani gani?Sinaga ushabiki maandazi, nimeanza kupenda soka enzi hizo, siku hizi soka ni burudani zaidi kuliko ushabiki.
Kweli mie ni msimbazi, lakini isinifanye kukataa kizuri, kupingana na ukweli ni kutafuta magonjwa ya moyo bure.
Yanga imeanza kuwa bora kitambo na kwa taratibu, wakati naliongea hili mashabiki wengi wa simba walikuwa wananipinga na wa yanga wakawa wanasema ninaWANANGA.
Msimu yanga anatolewa na al hilal, katafute comment yangu kule, kuna jambo nilizungumza, ukisoma ile basi huwezi pata tabu kabisa kwa kauli hizi.