Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Ila kale kasemaji kao sijui ka Ibwe kananiboaaa....nampenda fosali ila kale kajamaa ndo kanifanya nishindwe kuamua...😃😃😃😃😃😄😄😃😄kanakashfa kameshajiona timu yao ni real madrid...
Mimi yule zaka zakazi aisee yani sijui wanajikuta Barcelona au pSG
 
Umerusha kitaulo mwanetu wa Msimbazi?
Sinaga ushabiki maandazi, nimeanza kupenda soka enzi hizo, siku hizi soka ni burudani zaidi kuliko ushabiki.

Kweli mie ni msimbazi, lakini isinifanye kukataa kizuri, kupingana na ukweli ni kutafuta magonjwa ya moyo bure.

Yanga imeanza kuwa bora kitambo na kwa taratibu, wakati naliongea hili mashabiki wengi wa simba walikuwa wananipinga na wa yanga wakawa wanasema ninaWANANGA.

Msimu yanga anatolewa na al hilal, katafute comment yangu kule, kuna jambo nilizungumza, ukisoma ile basi huwezi pata tabu kabisa kwa kauli hizi.
 
At least azam wameswitch kucheza na beki 4, la sivyo ile ya kwanza wangekoga nyingi, na hapa kidoogo wataweza sumbuana na yanga kuliko mfumo ule wa kwanza.
 
Sinaga ushabiki maandazi, nimeanza kupenda soka enzi hizo, siku hizi soka ni burudani zaidi kuliko ushabiki.

Kweli mie ni msimbazi, lakini isinifanye kukataa kizuri, kupingana na ukweli ni kutafuta magonjwa ya moyo bure.

Yanga imeanza kuwa bora kitambo na kwa taratibu, wakati naliongea hili mashabiki wengi wa simba walikuwa wananipinga na wa yanga wakawa wanasema ninaWANANGA.

Msimu yanga anatolewa na al hilal, katafute comment yangu kule, kuna jambo nilizungumza, ukisoma ile basi huwezi pata tabu kabisa kwa kauli hizi.
Sasa ligi haijaanza umeanza kukataa tamaa unajua ligi itakuwa na ushindani gani?

Sijaona hoja ya msingi uliyo nayo. Ligi iaanze ndio tuanze kufanya analysis
 
Back
Top Bottom