Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko mama Guede.Tukutane kesho saa 3 usiku
Labda hayo magoli afunge lile striker refu kuliko goli.DKk ya 70 score board 3-3....
Tumuombee sana Kuna waarabu flan Hela zao hua hazinaga kazi mda wote radar zao zipo Yanga & SimbaJamaa anamwaga sana majiβ¦appreciation post kwakeπ₯π₯View attachment 3067202
Waaaah waaah...Labda hayo magoli afunge lile striker refu kuliko goli.
Wapi hao, imeisha hiyo.Labda hayo magoli afunge lile striker refu kuliko goli.
Fei amewaponza Swahiba.Swahibaaa
Leo uchawi ndio unacheza hakuna lolote wanga wakubwa!Kwa mpira upi, Wakirudi na mentality ya kurudisha tinawafunga 5 kwa moja kama Kaka zao
Wewe toka tu wala hatukuhitaji SimbaSimba yenu.. nyie vijana wa D 2 mna tabu, haya kaeni na hiyo simba yenu, mie huko dunia ya kusifia tu mradi hiki ndio nikipendacho, NISHATOKA huko
Ndio ndio kakaYaani raha mwanzo mwisho.
Shem hii yanga ni balaa.Yaani raha mwanzo mwisho.
Huyo ni Rais wa maji.Tumuombee sana Kuna waarabu flan Hela zao hua hazinaga kazi mda wote radar zao zipo Yanga & Simba
π π€£ We simba kama nani, mo,mangungu,fadlu try again ama!?Wewe toka tu wala hatukuhitaji Simba