Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gamond anabebwa na upepo wa wachezaji hana lolote...Ifike stage Timu zote Tanzania zimuheshimu yanga zikiendelea kushupaza shingo zitakuwa zinaadhirika vibaya sana, Azam kaingia kucheza utafikiri anacheza na coast union au Simba matokeo yake kaokota BAO 3 za chap chap, wameongoza goli wakadhani wamemaliza wanacheza na coast wakashindwa kujua kwamba gamond ni katili anapoliona kombe mezani!
Yaani nimekumiss kwa raha hizi dah.Shem hii yanga ni balaa.
Shabiki😄 🤣 We simba kama nani, mo,mangungu,fadlu try again ama!?
Unajifariji pamban na hali yakoTutaonana ni suala la muda tu
Si umeona kile kikosi mtani?Unajifariji pamban na hali yako
Mambo yetu au mambo yake ya uko zanzibarKumbe fosali aliwakatikia..si anajua ndo mambo yenu😃😃😃😃🤪🤪🤪
Ni ujinga tu kubishana na uhalisia. Boresha chako mshindane na sio kukataa umezidiwa.Kuna watu wabishi kuelewa MAKOLOW tokea msingi wa kwanza Yanga anachukua Kombe ,tatizo lao kuu ni ubishi hawataki kukubali wamezidiwa.
Walianza bahasha kupinga uwezo wa Yanga ligi kuu , tukasema sasa huku shirikisho je semeni bahasha wakachange gia wakasema ligi dhaifu vibonde.
Tukawapiga Tabulele tukawaambia haya semeni wenyewe kuwa na nyinyi vibonde dahifu au bahasha, wakasema bahati tu na bahasha tuwaone Klabu bingwa , nako huko wakazibwa mdomo.
Sifa ya MAKOLOW ni kutangatanga hawajui wabaki na msimamo upo kuhusu Yanga .
Rage! Rage ! Rage!
Hawa Leo watakoma ni kupiga mande mpaka waombe majiSasa hivi maDj wa Lupaso halftime ikifika wanatuwekea tu Masela huyo Mtotoooooooooooooooo kinaamka 😂🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂 Cc ephen_
KijanaPacome
Si lazima kila mpiga uchambue
Mwingine fanya fast switching
Na maji hatuwapi😂😂Hawa Leo watakoma ni kupiga mande mpaka waombe maji
Nimekiona kuna mpaka wakina deboraSi umeona kile kikosi mtani?
Usilazimishe hakuna aliezidiwa...kwa kikosi cha sasa...Yanga wenyewe wanaogopa...subiri mpira ndo kwanza umeanza...Ni ujinga tu kubishana na uhalisia. Boresha chako mshindane na sio kukataa umezidiwa.
Sio uchawi,marefa na bahasha za GSM?Gamond anabebwa na upepo wa wachezaji hana lolote...
FernandezNimekiona kuna mpaka wakina debora