Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanyaje😂Hata wewe? Acheni huo msemo jamani
Weeeee kwamba fei miuno atarudi tena.......mmebahatisha tu,ngoja turudi second half
Dada punguza pressure umejiquote mwenyewe😂😂😂Hao waliopelekewa moto na wale wazambia kwny siku yao...hawa ambao tumeqakimbiza dkk 90 wakatamani mpira uishe? Sema advantage yake ni kuwa wao wameshalizoea soka la Tz wana relax tofauti na wageni kwny timu yetu... wageni wetu wana tension kwanza ya kutaka kuonyesha ubora n.k ndhani hapa umenielewa..so relaax kaka...unaongea ukweli ila usipitilize...waswahili wanasema
Usinene ukamala...
Ameshaelewa niliemkoty...Dada punguza pressure umejiquote mwenyewe😂😂😂
Aucho pasi ya nne hii una misplace
Kiwango cha mpira huwa kinaporomoka kimasihara tuAucho mpira wa 4 anaupoteza, na sio kawaida yake
Atakua sawa kuna muda mambo yanazingua tuAucho pasi ya nne hii una misplace
Hakuna timi isiyofungwa, refer brazil 🇧🇷 ile bora kabisa, ya 58 mpaka 70 hivi, ile arsenal invincible, ile barca bora kabisa ya kina iniesta(kampa kampa tena), madrid ya kuchukua eufa back to back, hii man city ya guardiola, zote ni timu bora na zilifungwa.Bwana usiwavimbishe kichwa..kwamba wao hawafungiki au kwamba wao ni nini labda?
Hata mie naona uto ni wa kawaida saana.Uto sio timu Bora kama inavyoimbwa. Ni timu ya kawaida Sana sijui huwa mnaangaliaje boli.
Akalale sasa hapa hapamfai tena 🤣🤣🤣Dada punguza pressure umejiquote mwenyewe😂😂😂
Kwa huo moto lazima ajiquote tu maana hakuna namnaDada punguza pressure umejiquote mwenyewe😂😂😂
Mwishowe atajisahau hata jinsia atakojowa wima.Akalale sasa hapa hapamfai tena 🤣🤣🤣
Ushindi ni jadi yetu ujue