Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hampendi kuambiwa ukweli. Timu mpaka Jezi kuchapisha majina Haiwezi!Mshaanza ....
#YNWA
#YANGA BINGWA
mlisema anakufa ngapi? 🤣🤣VITAL’O wametuheshimu saana…
Na ni kweli wamefanya Training ya kutosha ndio maana walikua wanajiamini…
Wamekaba half spaces zote… wanakaba wakiwa karibu saana hawaachi nafasi za wazi!
Penetration passes za YANGA hazipiti…
2nd half tumuweke PACOME- chama game bado hajaingia kwenye mfumo!
Cc ephen_
Suibiri atoke Chama aingie Pacome, ndio utajua wanakufa ngapimlisema anakufa ngapi? 🤣🤣
Bado game haijaisha kaka baadae nakucheki 😁🤣mlisema anakufa ngapi? 🤣🤣
Hamna goli hapaBado game haijaisha kaka baadae nakucheki 😁🤣
BaadaeHamna goli hapa
Watafanya nini?Mpira bado.
Mzize na Pacome WAPO NJE.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kama walivofanya tarehe 8Watafanya nini?
Chama + Pacome + Mzize...Dube na Chama watupishe, aingie Mzinze na Pacome
Hakuna kitu hapaBaadae
Kwani Micky ni nani special mpaka kuipost Yanga ndio iwe jambo kubwa? Yanga ina postiwa na watangazi kibao tu akiwepo Lorenz Kõhler wewe unamzungumzia mtangazaji anbaye hata kwao Ghana hapewi thamani.Hampendi kuambiwa ukweli. Timu mpaka Jezi kuchapisha majina Haiwezi!
Ndio maana Micky hawapost kwa ubishi wenu!
Hii ni combination ya Baba LevoChama + Pacome + Mzize...
Best combination
Na mwingine naniHuyu chama tumepigwa