Gamondi sio Robertinho au Benchikha, haogopi mchezaji. Kampanga Chama leo kwavile kaona anakutana na mpinzani wa namna gani na atamfanyia sub muda wowote atakayeamua yeye kocha sio atakaomua ChamaChama anaogopwa na Gamondi
Yeah!...hao haoHawa ndio tunaambiwa wanaweza kukipiga hata na madrid
Na hakuna kitu watafanya[emoji1491]Kabiiiiiiiiiiiiiiiiisa tunaye na tunatamba nayeeeee [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji1665][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739]
Cc Smart911
Watabadilika huko mbeleni.Hatujakutana bado na vizimba na vigogo akina ahly. Kwa namna tulivyo cheza leo sijapenda kabisa
Niamini Mimi Gamondi kashaingia kwenye mfumo wa Chama. Lakini kwa uchezaji huu mkikutana na Waarabu mtakuwa matatani labda kama MTA improveGamondi sio Robertinho au Benchikha, haogopi mchezaji. Kampanga Chama leo kwavile kaona anakutana na mpinzani wa namna gani na atamfanyia sub muda wowote atakayeamua yeye kocha sio atakaomua Chama
Bado mbilUlitegemea 5
Kawaida ya cha tatuDaaaah bao la kiviiiiiivu kabisa yani bao la dharau π€£π€£π€£π€£