Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

Kabiiiiiiiiiiiiiiiiisa tunaye na tunatamba nayeeeee [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji1665][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739]

Cc Smart911
Na hakuna kitu watafanya[emoji1491]
 
Gamondi sio Robertinho au Benchikha, haogopi mchezaji. Kampanga Chama leo kwavile kaona anakutana na mpinzani wa namna gani na atamfanyia sub muda wowote atakayeamua yeye kocha sio atakaomua Chama
Niamini Mimi Gamondi kashaingia kwenye mfumo wa Chama. Lakini kwa uchezaji huu mkikutana na Waarabu mtakuwa matatani labda kama MTA improve
 
Back
Top Bottom