Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Yanga huwa wanahonga cuf ili watafutie vitimu vilivyoadhirika au vilivyopo kwenye vita ili wajipigie.duh ila kuna mwisho wa janja janja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngapi zitawatosha?Mi ni Vital'O ila naomba mtusamehe kwa niaba ya msemaji, yule hana akili kuna mda nati zinalegea.
Tufungeni chache tu
Can't waitKila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara [emoji41][emoji41][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169] baaaadae ushindi lazima Cc ephen_
CC Bantu Lady Nifah Carleen
Mbona mapema sana jamani 😁Yanga huwa wanahonga cuf ili watafutie vitimu vilivyoadhirika au vilivyopo kwenye vita ili wajipigie.duh ila kuna mwisho wa janja janja
Usilolijua, Usiliseme kwa sauti utaaibika Kaka.Yanga huwa wanahonga cuf ili watafutie vitimu vilivyoadhirika au vilivyopo kwenye vita ili wajipigie.duh ila kuna mwisho wa janja janja
Sijui mpira mnauonaje nyie watuWallah Yanga watafungwa Tu ila kwakua wanawakilisha Taifa basi nawatakia kila la heri Watani zangu, mpigeni Jamaa hata vitatu Ndio standard. Kila la heri Yanga kila la Heri Tanzania
Tupo nao hadi dakika ya mwishoTuambieni mapema kama Vital O ni wabovu
Wallah Yanga watafungwa Tu ila kwakua wanawakilisha Taifa basi nawatakia kila la heri Watani zangu, mpigeni Jamaa hata vitatu Ndio standard. Kila la heri Yanga kila la Heri Tanzania
Ubovu wa Vital'O utaonekana ikiwa Yanga itashinda , ubora wa Vital'O utaonekana ikiwa Yanga itafungwa .. 😁Tuambieni mapema kama Vital O ni wabovu
Afu akianzisha uzi wa yanga mechi inakua na mbambamba sana anatutia nuksi huyo mwana5imba 😹Suley alisemewa, huwa anaanzisha uzi anasepa 🤣🤣