Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga wakihonga CUF, nyie nendeni mkahonge TLPYanga huwa wanahonga cuf ili watafutie vitimu vilivyoadhirika au vilivyopo kwenye vita ili wajipigie.duh ila kuna mwisho wa janja janja
Pamoja sanaKila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara [emoji41][emoji41][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169] baaaadae ushindi lazima Cc ephen_
CC Bantu Lady Nifah Carleen
Sawa. Nipo hapa Kuishangilia Vital'OSio kwa macho haya haya mawili??
English ya modes ๐คฃAre here?
Walisema yanga wanacheza na vibonde lakini kwenye ngao ya jamii baada kupata kipigo wamekuja na sababu kwamba wanajenga timu baada ya kocha kuwambia wasipo sajili mshambuliaji mwingine asilaumiwe nasikia wamesajili, tusubiri watasema tuYanga wakihonga CUF, nyie nendeni mkahonge TLP
Unazungumza juu ya akina nani?Walisema yanga wanacheza na vibonde kwenye ngao ya jamii baada kupata kipigo wamekuja na sababu kwamba wanajenga timu baada ya kocha kuwambia wasipo sajili mshambuliaji mwingine asilaumie nasikia wamesajili, tusubiri watasema tu
Mbumbumbu fcUnazungumza juu ya akina nani?
Hongera sana Mtumishi, natumaini umetuombea na Sisi wakosefu..!!Mtumishi hulali leo? Mimi niko kwenye mkesha hapa WAPO
Hilo lilishapigwa underbelt tangu liliposema Yanga imepoteza hela kwenye usajili wa Aziz Ki!
Hakuna hiyoMi ni Vital'O ila naomba mtusamehe kwa niaba ya msemaji, yule hana akili kuna mda nati zinalegea.
Tufungeni chache tu
Ndio Utopolo?Mbumbumbu fc
Tumia akili Mnemba, hahahaaNdio Utopolo?
2 person is here๐1 people are here
Tumia akili Mnemba, hahahaa
Ya kitengo cha HQ ilee Cc uranAfu ile id sijawahi kuiona uzi wowote tena, anaibukaga tu match day saa sita usiku anaanzisha uzi na kusepa ๐น๐น
Mtaenda kuzibulishwa mitalo huko mabibo shauri yeno VitaloVital'O tujuane mapema!!
To think out side the box or social inference"Akili mnemba" is a phrase in Swahili that can be translated to "sharp mind" or "intelligent mind." It is often used to describe someone who is smart, quick-witted, or insightful. It can be a compliment or a way of recognizing someone's mental sharpness.