Utakuwa na kazi kubwa yakuhesabu mipira inayoingia nyavuni kesho[emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]
Kushinda tu kuchukua kombe la ligi kuu aaanhUtakuwa na kazi kubwa yakuhesabu mipira inayoingia nyavuni kesho
Duh tuendelee kupiga duaaa
29Dakika ya ngapi?
Mkifikia kufunga lenta mtuambie.Tuna jenga timu , hatuna pressure.
Uto banaKushinda tu kuchukua kombe la ligi kuu aaanh
Miaka 3 huu unaofata 4Uto bana
Kampuni gani hii
Ni sawa ila mwambie Vital'O yupo club bingwa Simba yupo SHIRIKISHOLakini haianzi raundi za uto, ndio hoja yake
Saiv hamuwezi wagonjwa nyie