Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kawaida hayo ,huwa mjisahau sana😁😁😁Wazee wa kufufua Wafu!!
Kaka 4 nyingi sanaHakuna kitu hapa
Ntumie basi muamala nmeona umempiga muhindi 😹
Simba hapo ndio alifika fainali Cc ephen_
Makolokolo mlishawahi kuwa hadi Manabii mechi za klabu bingwa za Yanga SC, mfano Yanga vs Mamelodi Sundowns 2024 ila mliteseka hadi mkalaani kwanini mlikuwa viherehere kuingilia ugomvi si wenu, kiko wapi sasa?Hapa tunaongelea Klabu bingwa sio mambo ya Ngao ya jamii, mbona hata Man city huwa anafungwa na Brentford katika Ligi la Epl,...ila Man city UEFA unakuta hashikiki.
Sina kihoro mnajisahau sna ,njia mnayopita tulishapita kitambo tunawachora tu😁😁😁
Anajitahidi, yuko vizuri walau hafanyi madudu sana kama msimu uliopita.Unamzungumiaje Mzize ameimprove au bado tumpe muda?
Naunga mkono hoja na Kuna yule mwanetu jike dume ndio alikuwa anasema ooh mamelodi anawapigeni 5 Cc ephen_ Evelyn SaltMakolokolo mlishawahi kuwa hadi Manabii mechi za klabu bingwa za Yanga SC, mfano Yanga vs Mamelodi Sundowns 2024 ila mliteseka hadi mkalaani kwanini mlikuwa viherehere kuingilia ugomvi si wenu, kiko wapi sasa?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Makasiriko yanawahusu wazee wa mirembe
Na nyie fikeni shirikisho fainali kule🤣😁😁😁😁🤣😁😁Punguza hasira kaka😁
🤣😁😁Makasiriko yanawahusu wazee wa mirembe
Kumbe Vitaloo ni manyumbu ?Hii yanga ikicheza na timu dhaifu kama manyumbu
Basi inashinda