Full Time: Coastal Union 0-1 Simba SC | Mkapa Stadium | Mshindi wa tatu | 11/08/2024

Full Time: Coastal Union 0-1 Simba SC | Mkapa Stadium | Mshindi wa tatu | 11/08/2024

Hakuna cha kazi nzuri hapo. Ukweli tuuseme. Wamefanya makosa mengi kabisa ikiwemo kupoozesha mpira wakati wa kushambulia. Wanahitaji kubadilika.
Makosa kocha yupo ndo kazi yake kuyarekebisha. Walitumwa kushinda, wameshinda hivyo wanastahili pongezi.

HONGERA SANA VIJANA WA SIMBA, KAZI NZURI. Mechi ya sita mkiwa pamoja mashabiki mtuonyeshe mambo mazuri zaidi.
 
Furaha pekee kwa Simba leo ilipaswa kuwa mchezo mzuri wenye ushindi mnono.
Hii ilikuwa mechi ya wa kocha kujaribu timu & mbinu tofauti tofauti. Full Utopolo wao mechi ya mwisho vs coastal walishinda kwa shida kagoli 1-0.
 
Hongereni kwa ushindi wana msimbazi.
Mwanzo mgumu na pole pole ndio mwendo.

Hata safari ya hatua elfu moja ilianza na hatua moja na goli moja ni goli hata kama ni ushindi mwembamba tutafika tu.

This-is-Simba💪
 
Furaha pekee kwa Simba leo ilipaswa kuwa mchezo mzuri wenye ushindi mnono.
Leo hata tungefunga 8 haina maana na tushafanya sana haya ya kufanya vibaya kisha mechi inayofata isiyo na ulazima tunashinda goli nyingi.

Simba tunataka kuona tukishinda michezo ya ligi na kuchukua ubingwa.

Mambo ya kupoozana kwa kumtandika mtu goli 7 zisizo na impact kwenye kikombe tuyaache msimu uliopita.
 
Kuna makosa kibao yameonekana, makosa ya mtu binafsi
Tuache kujificha kwenye kichaka cha timu mpya bwana
 
Kuna watu humu wanaongea kihisia sana kwa kui underestimate Coastal na kudhani kwamba ni timu ya kustahili kufungwa goli nyingi.

Labda imekuwa rahisi kwa wao kusema hivyo kwasababu aina ya mpinzani anayekutana na Coastal ni Simba.

Ila watakuwa wanakosea sana kama wanajiweka wao kama ndio mbadala sahihi wa kuweza kufanya hicho kitu walichotegemea kuona Simba inakifanya.

Kwasababu msimu ulioisha kuna timu ili kupata hilo goli moja iliwalazimu wacheze 11 dhidi ya 10 nikiwa na maana ya red card iliyoenda upande wa Coastal na kuipa faida timu pinzani.

Na sio mechi hiyo tu hadi fainali ya Azam Federation misimu miwili iliyopita bado mambo yalikuwa magumu kwao na hiki wanacho wish Simba ifanye, wao hawakuweza kukifanya.
 
Timu yetu bado haijakaa sawa ila naamini itakaa sawa mbele kwa mbele
 
mikia mkikutana na wauza asikilim mnakula 3 na kuendelea. mnajipa moyo mnawachezaji.mshapigwa tayali nyie.
 
Makosa ya leo yatatugharimu sana kwenye ligi. Tumejiweka kwenye mazingira ya timu ndogo kutuona wa kawaida na hivyo kutoingia na woga wanapocheza na Simba. Kocha kazingua na wachezaji wamezingua pia.
Ni sahihi mkuu, kocha asawazishe makosa, ligi ikianza timu ishushe vichapo, ni jambo baya kucheza na timu ndogo ikuchukulie poa poa, wakikuzoea inakuwa changamoto, timu ndogo inatakiwa iingie uwanjan na wazo la hata wakipata sare ni sawa, sio waje wakiamini wanakuweza, itatupa tabu.
 
Kuna watu humu wanaongea kihisia sana kwa kui underestimate Coastal na kudhani kwamba ni timu ya kustahili kufungwa goli nyingi.

Labda imekuwa rahisi kwa wao kusema hivyo kwasababu aina ya mpinzani anayekutana na Coastal ni Simba.

Ila watakuwa wanakosea sana kama wanajiweka wao kama ndio mbadala sahihi wa kuweza kufanya hicho kitu walichotegemea kuona Simba inakifanya.

Kwasababu msimu ulioisha kuna timu ili kupata hilo goli moja iliwalazimu wacheze 11 dhidi ya 10 nikiwa na maana ya red card iliyoenda upande wa Coastal na kuipa faida timu pinzani.

Na sio mechi hiyo tu hadi fainali ya Azam Federation misimu miwili iliyopita bado mambo yalikuwa magumu kwao na hiki wanacho wish Simba ifanye, wao hawakuweza kukifanya.
Angalia makosa ya timu yako ... mkiishia kuangalia ubora wa timu kwa kufananisha nani kamshinda nani hakutokuwa na mabadiliko mtaishia kuitetea timu kwa Kauli mbiu za kila msimu.
Mpaka robo ya Msimu wa kwanza ukiisha mtakuwa drained kwelikweli.
 
Yaani pamoja na kuwa Pungufu Lkn hauoni timu kuzidiwa.....nami nasema Simba timu Wanayo....mwaka huu Yanga ni Kujiandaa kisaikolojia
Lengo la timu ni kutengeneza matokeo tarajiwa mkuu , Yanga tuna Timu ya matokeo ila kama mnahisi kombe lenu ni kuja kuifunga Yanga shikilieni hapo hapo
 
Back
Top Bottom