makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hii freekick tukipata goli la pili, tumemaliza gameDakika ni chache, tunaweza kushikilia bomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii freekick tukipata goli la pili, tumemaliza gameDakika ni chache, tunaweza kushikilia bomba
AmepaishaHii freekick tukipata goli la pili, tumemaliza game
Nilijua tu kama mabadiliko ya Kocha hayakuwa ya kiufundi. Hakukuwa na sababu za msingi kumtoa Mavambo na kumuingiza Ngoma. Au Ngoma alipopewa yellow, ilipaswa amtoe aingie Yusuph Kagoma. Sielewi kwanini kuna wakati benchi la ufundi linaharibu to the maximum.Acha kabisa, sasa tujiandae kupelekewa pumzi ya moto.
ingekua n dak za 60 simba angelowa nying88'
Wao 0 Sisi 1
Msemo wetu ni ule ule kua "timu yetu bado haina muunganiko".Yaan bado n kale kale kamoja duu
huo muunganiko n mpaka ligi inaisha asee haiunganiMsemo wetu ni ule ule kua "timu yetu bado haina muunganiko".
BaluaaaNilijua tu kama mabadiliko ya Kocha hayakuwa ya kiufundi. Hakukuwa na sababu za msingi kumtoa Mavambo na kumuingiza Ngoma. Au Ngoma alipopewa red, ilipaswa amtoe aingie Yusuph Kagoma. Sielewi kwanini kuna wakati benchi la ufundi linaharibu to the maximum.
Ngoma apewe red halafu abadilishwe tena? Embu tulia mkuu kocha ndo mwenye maono, atahukumiwa kwa matokeo and so far Simba ipo mbele kwa 1 goal na haijapaki basi.Nilijua tu kama mabadiliko ya Kocha hayakuwa ya kiufundi. Hakukuwa na sababu za msingi kumtoa Mavambo na kumuingiza Ngoma. Au Ngoma alipopewa red, ilipaswa amtoe aingie Yusuph Kagoma. Sielewi kwanini kuna wakati benchi la ufundi linaharibu to the maximum.
Naunga mkono, mavambo hakupaswa kutoka.Nilijua tu kama mabadiliko ya Kocha hayakuwa ya kiufundi. Hakukuwa na sababu za msingi kumtoa Mavambo na kumuingiza Ngoma. Au Ngoma alipopewa red, ilipaswa amtoe aingie Yusuph Kagoma. Sielewi kwanini kuna wakati benchi la ufundi linaharibu to the maximum.
Pia unaunga mkono kwamba Ngoma baada ya kupewa red card, alitakiwa afanyiwe substitutionNaunga mkono, mavambo hakupaswa kutoka.
Huamini? Watu wana hela zao, sio mtu anaidhamini klabu sh. bilion moja kwa miaka mitanoKwamba hapa ndo ilitumika bilioni 7?