uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Alikuwa anachoma hapaHuyo ndie Camara....Ngoma kashafulia tuukubali ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anachoma hapaHuyo ndie Camara....Ngoma kashafulia tuukubali ukweli
Ngoma hahawahi kuwa bora kustahili kucheza simbaHuyo ndie Camara....Ngoma kashafulia tuukubali ukweli
Marefa huwa wanaogopa kutoa kwa Simba, wanaogopa maneno maneno ua UtoKayoko katunyima penalty hapa
Hii game nilifikiri tofauti kabisa na ninachokiona hapaSimba chama langu bado, labda tusubiri game 5 hivi zipite tuanze kulijadili upya
Hakuna Matuta hapaNaiona harufu ya matuta
Pacome wenu alianza hivi hiviHakuna timu hapa.
Mukwala ni mkwala haswaaa
Huyu so ndio mliemuiba Airport usiku na mkajisifu sana?Ngoma hahawahi kuwa bora kustahili kucheza simba
Hata mimi nilifikiri itakuwa nyepesi, tutaikamata game kwa asilimia kubwa, imekuwa ndivyo sivyo, sasa coastal wametukamata na usishangae wakasawazisha, mpaka sasa game ni yao.Hii game nilifikiri tofauti kabisa na ninachokiona hapa
Kwani bado yumo?Hakuna timu hapa.
Mukwala ni mkwala haswaaa
Pacome alianza na motoPacome wenu alianza hivi hivi
Game hazifananiYaani Yanga walikuwa sawa kutufunga