makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ukikosea pale ni lawama nziito..Udambwi udambwi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikosea pale ni lawama nziito..Udambwi udambwi...
Muda utatuambia.Mutale ni mchezaji wa kawaida sana, hata kaseke kwenye ubora wake kamzidi mutale
Timu yetu haina shida yoyoteVp na leo mmeridhika na timu yenu Kolo FC?
and very hard to carryUkikosea pale ni lawama nziito..
Kula NYAMA NYAMAZA, unaweza kuniambia ubaya wa ngoma? Kwa haraka haraka okjepha kamzidi nini ngoma, sasa hivi wanacheza wote wawili ngoma anaharibu wapi?Ngoma?!!! Nimeamini mashabiki wa simba ni mbumbumbu nami nikiwa mmoja wao.
Hakika aliyeturoga alishakufa
Yote maishaWashindi wa 3 ..simba 🦁 😁
Simba chama langu bado, labda tusubiri game 5 hivi zipite tuanze kulijadili upyaand very hard to carry
Hata hivyo vipaji vya mchezaji mmoja mmoja sivioni.Poor decison making tunapofanya attacking transition
Quality Mzee bado hatuna quality za kutosha kufanya maamuzi sahihi zile nafasi ndio Yanga wanakuonesha utofautiPoor decison making tunapofanya attacking transition
Huyo ndo Camara.Hii save nzuri sana!!