Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Mashaka anachukua nafasi ya mukwala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi mnashangilia nafasi ya tatu baadae game ya Azam mtamshangilia Azam nafasi yake ya pili,ukijumlisha mnapata zile 5 za 5 NovemberHT
Sisi 1 Wao bado hawajapata kitu na hawatakipata
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sub hii sijaipenda, nilitaka nione pacha ya ngoma na debora.. Mie bado naamini ngoma ni mchezaji mzuri anastahiki kucheza.
Unamwona Balua?Sasa hivi mnashangilia nafasi ya tatu baadae game ya Azam mtamshangilia Azam nafasi yake ya pili,ukijumlisha mnapata zile 5 za 5 November
Naona kama kocha hajaelewana nae.Sub hii sijaipenda, nilitaka nione pacha ya ngoma na debora.. Mie bado naamini ngoma ni mchezaji mzuri anastahiki kucheza.
Kanzu, 😀Huyu Mousa Camara ni balaaa sana...mtu kala bazee hapa
Hata Kijili yupo kwenye harakati za Pimbi,anahangaika kutoa mpira nyuma akifika phase muhimu ya mwisho kutoa assist inakuwa work done zero.Mutale anakimbia kimbia tu maamuzi yake mibovu kwenye kukamilisha mipango ya mashambulizi mipira inaishia kwa adui.. Huyo hana tofauti na wachezaji wa ndani hapa tena naweza kukuambia chasambi ni bora kuliko yeye... Kiufupi ana harakati za pimbi
Lile ni bazee la kinaijeriaKanzu, 😀
Diarra hawezi hii
Kuna wengine hawataki kusikia hiki ulicho kiongea.Huyu ahoua bado, hatoshi kuwa namba 10 ya simba, hana jicho la pasi, lakini pia anachelewa kuachia mali.
Mukwala mali ipo mguuni, atulize akili, asifosi goli, acheze mpira, goli litakuja.
Ali komwe matusi yana mwisho hayo