Full Time: Coastal Union 0-1 Simba SC | Mkapa Stadium | Mshindi wa tatu | 11/08/2024

Full Time: Coastal Union 0-1 Simba SC | Mkapa Stadium | Mshindi wa tatu | 11/08/2024

Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
 
Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
Mdogo mdogo watatuelewa mbona
 
Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
Ina Ahmed Ally Voice!!!!!! Umemsahau Debora.
 
Shabalala mi simkubali kabisa huyu jamaa...anacheza mpira wa kizamani sana hana faida timu inaposhambulia
 
1000045960.jpg

Kikosi cha Bilion 7
 
Simba sasa imejipata chini ya Fad,
Wanacheza mpira level za hali ya juu mnoo.
Safu ya ulinzi ni imara sana hasa Hawa wingsback wanaforce kushambulia had raha.
Kiongo kimeimarika sana kiasi kinarahisisha attacking hasa wakina Mutale na mikwala ni ku weka tu WAAH.
Kwa kikosi cha bilioni 7 huu ni utopolo mkubwa!
Na mashabiki kama nyie ambao hamsemi ukweli mtaigharimu sana timu.Maana hata hii mechi tu tumeanza kuona uvivu na ujinga wa msimu uliopita
 
Back
Top Bottom