Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Bado ubinafsi ni mwingi sana kwa wachezaji wengi wa Simba wanataka show off.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira hauko hivyo. Huo ni ushabiki.Azam mpaka kipindi cha kwanza alikuwa kaishamlamba goli 3
Haha Kwa nywele au uchezaji mbona wanasimba mnapenda kujipa moyo sanaHuyu mukwala ni drogba mtupu
Hawatujui,Bado ubinafsi ni mwingi sana kwa wachezaji wengi wa Simba wanataka show off.
Imekupata pataje?Ni aibu
Hamisa mwenzako anakula maisha we chelewa chelewa tu...tukukute kwa mwamposaWa nini mimi? Nina kaka mzuri wangu atosha.
YANGA 4-1 SIMBAMumshukuru Heri Sassii kwa kumimya penalty ya wazi dk za mwisho ila ngoma ilikuwa uno uno
Mnajitia AIBU mitaani huku. Mnatamba sana kumbe mmebeba vimeoImekupata pataje?
Hatuna harakaMpka 2026 au sio?
Aisee binadamu mnadharau sana nyieMnajitia AIBU mitaani huku. Mnatamba sana kumbe mmebeba vimeo
We una uhakika gani kama sili maisha Mkuu?Hamisa mwenzako anakula maisha we chelewa chelewa tu...tukukute kwa mwamposa
Timu mpya ukimtoa shabalala na karabaka nani mwingine alikuwa akicheza msimu uliopita?Style hii ya kupoteza mipira ni ya kipuuzi sana. Bado Simba hatuna cha kujivunia. Uchezaji wa kuridhika sana huu kama wa Simba iliyopita vile.
HTTuona mwanga fc mbona hamleti update?